madoa yamenipata ukubwani nikiwa na 20yrs ndo yalinianza mpaka leo nina 28yrs nahisi kama chanzo inaweza kuwa effect of sunrise na dr kasema kipind cha ujauzito yanazidi kuwa meusi zaid due to hormonal changesHebu tueleze vizur hayo madoa yapoje
Ulizaliwa nayo,umeyapata ukubwan.changanua vizur
Dah mie pia Nina hyo shda kuanzia 2021-sasa cjapata solution😢 anaejua atusaidiemadoa yamenipata ukubwani nikiwa na 20yrs ndo yalinianza mpaka leo nina 28yrs nahisi kama chanzo inaweza kuwa effect of sunrise na dr kasema kipind cha ujauzito yanazidi kuwa meusi zaid due to hormonal changes