Dawa ya kutibu Figo tafadhali msaada

OME123

JF-Expert Member
Oct 4, 2010
1,498
605
Habari za jioni wandugu natafuta mwenye kujua dawa ya kutibu figo. Msaada wa haraka tafadhali. FIGO ZINASUMBUA SANA
 
Habari za jioni wandugu natafuta mwenye kujua dawa ya kutibu figo. Msaada wa haraka tafadhali. FIGO ZINASUMBUA SANA
Nenda kwa Wahindi pale Mawenzi Rd Moshi karibu na NMB ulizia utapata hitaji la moyo wako
 
Ifuatayo ni dawa mbadala ili ifanye kazi vizuri zingatia yafuatayo:

Asubuhi Kula Matunda Tu:
Unatakiwa kula matunda tu kuanzia asubuhi unapoamka hadi saa 6 mchana. Huruhusiwi kula kitu kingine chochote zaidi ya haya matunda tu, hivo huruhusiwi kunywa chai, kahawa, maandazi, mikate, chapati na vyakula vingine vyovyote.


Mchana na Jioni kula Kachumbari:
Tengeneza kachumbari ya kutosha, unaweza kuweka nyanya, kitunguu, tango, karoti, pilipili hoho, kabeji, na vinginevyo unavyo vipenda. Unatakiwa kula kachumbari hii hadi ushibe kabisa, ikiwa njaa itawahi sana kukuuma baada kula kachumbari yako basi unaweza kula chakula kingine ulichokizoea.

Mahitaji:
(i.) Unga wa ubuyu 1kg
(ii.)Unga wa manjano 1kg
(iii.) Asali mbichi.

Matayarisho na matumizi yake:
Changanya ubuyu na manjano upate mchanganyiko wa pamoja kisha chukua vijiko viwili vikubwa vya mchanganyiko huo weka kwenye maji ya vuguvugu nusu lita koroga vizuri kisha weka asali vijiko vikubwa viwili, koroga tena vizuri ndio unywe juisi hiyo yote asubuhi kabla ya kula kitu na jioni kabla ya kula chakula

NB: Wakati unaendelea na tiba hii hurusiwi kutumia dawa za kutuliza maumivu, dawa za presha, sukari au ARVs. Fuata utaratibu huu kwa miezi sita mfululizo utakuwa umepona kabisa. Pia huruhusiwi kabisa kula vitu vifuatavyo:
i. Vyakula ambavyo hujapika wewe au mtu unayemuamini mfano usile kwa mama ntilie, migahawani, hotel na sehemu nyinginezo kama hizo.

ii. Usile vyakula kutoka kiwandani kama soda, juice, bia, mikate, maandazi, chapati, biscuit, na vingine vingi vinavyotenenzwa viwandani.

iii. Usile vyakula vyote vitokanavyo na wanyama au maziwa

iv. Usitumie dawa za kutuliza maumivu, dawa za presha, au sukari

v. Usile chakula baada ya saa 2 usiku.

vi. Usile virutubisho

vii. Usitumie sukari au glucose

Uwe na nidhamu tu ya kufuatisha huo utaratibu kwa makini.
 
Mkuu Nitafute mimi kwa wakati wa ili nipate kukutibia amradhi yako ya figo uguwa pole Mkuu.
Kama una tiba mbadala ITAPENDEZA ukaieleza humu Jukwaani siyo tu iwasaidie wengi pia ipate nguvu ya kitaalamu. Wanaopitia JF ni watu wa aina mbalimbali ambao wanaweza kukusaidia kupata "hati miliki"
 
Kama una tiba mbadala ITAPENDEZA ukaieleza humu Jukwaani siyo tu iwasaidie wengi pia ipate nguvu ya kitaalamu. Wanaopitia JF ni watu wa aina mbalimbali ambao wanaweza kukusaidia kupata "hati miliki"
HAYA MKUU NIMEKUWEKEA DAWA HAPO JITIBIE NA WEWE .

Kidney Infection Treatment: The Top 10 Home Remedies

If you’re like most of my patients, kidneys aren’t much of a concern – until something goes wrong. But these hard-working little organs deserve better! The kidneys are responsible for so many important functions, including filtering toxins from your blood.

Here’s a remarkable fact: Every 30 minutes, all the blood in your body travels through the kidneys. Every single day – thanks to your kidneys – more than two quarts of waste are cleared from your bloodstream and removed from the body as urine. Without this vital kidney function, waste would accumulate and serious damage to the organs throughout your body would occur.

Kidneys also…

Oversee distribution of important minerals.

Regulate the body’s acid-alkaline balance to keep you from becoming too acidic.

Manage the body’s fluid levels.

Release three essential hormones involved in blood pressure, bone building, and maintaining healthy red blood cells, among their other duties.

When Kidneys Go Wrong

We live in a world filled with chemicals, toxins, and corrosive materials, things that overload our kidneys and force them to work harder than they should. In addition, dehydration remains a problem for the majority of people. If you’re not taking advantage of my detoxification suggestions and drinking plenty of fresh, filtered water every day, you could be putting your own kidneys at risk, as my patient Wendy discovered.

Symptoms of Possible Kidney Problems

Back pain, especially when it’s sudden and intense

An urgent need to urinate

Fatigue

Swollen legs, hands, feet, or ankles

Blood in the urine or difficulty urinating

Bloating

Puffy eyes

Ridges in fingernails

Skin problems

Nausea and/or vomiting

Metallic taste in the mouth

Infections and kidney stones are two of the most common kidney problems. Generally, infections are due to the bacteria E. coli gaining access to the urinary tract where they can connect with the kidneys. Technically, kidney infection is a form of urinary tract infection (UTI) and is treated with antibiotics.

Kidney stones, on the other hand, are solid, chemical deposits that form inside the kidney. Dehydration is one of the most common causes of kidney stones. A kidney stone can be nearly invisible to the naked eye, as large as a marble, or even bigger.

Tiny kidney stones pass out of the body in the urine, so you’re never aware of those. Larger kidney stones, however, can become lodged in the ureter, a thin tube connecting the kidneys and the bladder. When they become stuck, these stones can cause severe pain in the side or back, blood in the urine, and difficulty urinating. It can take days or even weeks for a kidney stone to pass on its own, so if you’re experiencing kidney stone symptoms, see a health care professional as soon as possible.

In addition, there are three types of serious kidney disease – acute renal failure, chronic kidney disease, and end stage renal disease. (Note: The word “renal” is simply a medical term for kidneys.)

Acute renal failure (ARF) could be due to an injury or ingesting toxic substances. ARF generally responds well to treatment, especially if the kidneys are not severely damaged.

When kidneys gradually lose the ability to function, it is typically due to chronic kidney disease or CKD, the most common type of kidney ailment. Often, there are no symptoms of CKD until the condition has advanced. Then patients could experience numbness and/or swelling in the hands and feet, frequent urination, nausea, anemia, and poor appetite.

Finally, end stage renal disease (ESRD) is a serious condition in which there is no or very little kidney function remaining, and the damage to the kidney is permanent. At this point, a patient is looking at daily dialysis sessions or a kidney transplant.

Kidney cancer, while not common, does seem to be increasing. In the early stages, there are few symptoms. As the cancer advances, symptoms may include blood in the urine, fever that comes and goes, fatigue, back pain, and weight loss. Kidney cancer can be treated with surgery, radiation, and assorted drugs, depending on its location, size, type, and the overall health of the patient.


Ten Steps To Keeping Kidneys Healthy

Now that we’ve looked at the bad news, you’ll be happy to hear that there’s a good side here, too, and it is this: For the most part, the conditions that lead to kidney compromise are avoidable.

Start by asking your health-care professional for blood panel readings of three key measures of kidney health – the BUN (blood urea nitrogen) and creatinine levels and your eGFR (Estimated Glomerular Filtration Rate) numbers.

The BUN test results measure kidney and liver functions. The healthy range is considered 10 to 20 mg/dL; anything higher may indicate kidney problems.

Similarly, the BUN/creatinine ratio tells your doctor if your kidneys are eliminating waste efficiently. If creatinine levels are elevated, there could be a problem with the kidneys. A healthy BUN/creatinine ratio is between 10:1 and 20:1, although men and older people can be higher and still be healthy.

The eGFR test looks for signs of kidney damage. This is an especially useful test for patients with diabetes and/or high blood pressure, both of which can cause kidney problems. Reading the test scores correctly is very important, though. It’s perfectly normal, for example, for a 16-year-old to have an eGFR of 300 ml/min, while a 60-year-old may score 100 ml/min – yet in both cases the kidneys are fine. A score lower than 60 ml/min, however, indicates that kidney function is impaired.

Scores from these tests tell you how strong your kidneys are now, and there are other kidney function tests available. Unfortunately, as many as half of all people with kidney problems don’t know they are at risk. Knowing your numbers can help you stay on top of the situation so you can alter any behavior that may be harmful.

Here are additional steps that can help keep kidneys healthy:


1) Hydrate
Staying thoroughly hydrated is the most important thing you can do to prevent kidney stones and keep kidneys strong. Water dilutes the urine, and that prevents minerals and salts from clustering together and forming stones. I often recommend that patients who are at risk for kidney stones start the day by drinking fresh lemon juice in a glass of room temperature water.


2) Probiotics
Make certain you have healthy populations of friendly bacteria known as probiotics in your intestines. Studies have shown that these microorganisms are linked to better overall and digestive health, as well as a long list of other benefits. One of those involves assisting kidneys in processing waste materials, as well as reducing the likelihood of developing kidney stones.

A recent clinical trial involving patients with chronic kidney disease found that the group taking probiotics improved kidney function test scores as well as overall quality of life.


3) Eat Less Meat
Go easy on animal protein. Kidney stones are most common in populations that consume a great deal of meat. I suggest aiming for less than 65 grams of animal protein per day, which is just a little more than two ounces.


4) Avoid Phosphorous
Watch your phosphorous intake. You rarely hear about the mineral phosphorous, probably because deficiencies are so rare, especially for anyone eating the Standard American Diet (SAD). And that’s why phosphorous is becoming a problem, particularly for kidneys.

The mineral is found in most foods, but carbonated soft drinks and prepared, processed foods are especially high in phosphorus. You only need 800 mg to 1,200 mg of phosphorus each day; higher amounts are flushed from the body by healthy kidneys.

When kidneys don’t work well, phosphorus accumulates in the body, causing potentially serious conditions, such as bone and heart disorders, as well as calcification (hardening) of tissues. The easiest way to make sure you’re not getting too much phosphorus is to eat a nutritious, whole foods diet and totally avoid any fast and convenience foods.

5) Quit Smoking
Smoking hurts the kidneys, so if that is one of your vices you have to stop.


6) Drink Juice
One of the best ways to support good kidney health is with daily juicing. My favorite is to juice one entire bunch of cilantro or parsley, two herbs that are kidney friendly and help remove heavy metals from the body, mixed with water, lemon juice, and raw, organic honey to taste. If you have not discovered juicing yet, you can also use a greens product that provides a healthy serving of these essential nutrients.


7) Eat These Foods
Stock-up on kidney-supportive foods, including watermelon, berries (cranberries, blueberries, and strawberries), peppers, apples, garlic, onions, cabbage, cauliflower, and olive oil. While you’re at it, please review my earlier recommendations for healthy eating and reducing inflammation, because those suggestions benefit kidneys, too.


8) Lose Some Weight
If you’re carrying around extra pounds, do your kidneys a favor and shed a few pounds. Obesity has been linked to an increased likelihood of developing kidney cancer.


9) Ditch the Pain Relievers

Slash your risk of kidney cancer even further by minimizing your use of pain relievers, including non-steroidal anti-inflammatory drugs (NSAIDs), such as aspirin, ibuprofen (Advil, Motrin, Nuprin), naproxen (Aleve), and acetaminophen (Tylenol). Products like these are very hard on the kidneys. Even worse, researchers have found that these drugs increase the risk of developing kidney cancer.


10) Epsom Salt
Treat yourself to a detox bath in Epsom salts. Removing waste and toxins gives kidney a boost while improving your overall health.

Making the changes I’ve listed above will benefit your kidneys, along with your overall health. But, in addition, there are three significant threats that really require action on your part. If you’re suffering from high blood pressure, pre-diabetes, or diabetes, your kidneys could be suffering, too. These conditions can be improved with natural remedies and lifestyle changes, but those will require some commitment on your part. I hope you’ll agree that taking care of your kidneys is a worthwhile goal and make the necessary changes to protect these vital organs.

MARADHI YA FIGO.jpg
 
CHANGAMOTO ya UGONJWA wa FIGO..jpg


Ugonjwa wa figo
Figo ni ogani inayoshirikiana na moyo. Kuathirika kwake kuna athari kubwa kwa mfumo wa damu na mapigo ya moyo.
Magonjwa sugu ya figo hutokea pale ogani hiyo inapopoteza uwezo wa kutenda kazi zake kikamilifu.

Tatizo huanza taratibu na kudumu kwa muda mrefu hadi kuonyesha dalili za wazi .

Huu ni kati ya magonjwa yasiyoambukiza kwani unatokana na mienendo na mitindo ya kimaisha .

Figo huwa na kazi ya kuchuja takamwili zilizo ndani mwilini na kuzitoa nje kwa njia ya mkojo na kupunguza kiasi cha maji kilichozidi mwilini.

Figo hutoa homoni inayochochea ogani zingine mwilini ikiwamo kuhamasisha utengenezwaji wa chembe nyekundu za damu,utendaji wa madini ya kalsiamu na homoni zinazoongeza mwendo kasi wa misuli ya moyo.

Vilevile ,figo hufanya kazi ya kufyonza na kuvirudisha vitu muhimu ambavyo vingehitajika kutoka kwa njia ya mkojo.

Hudhibiti madini kama potasiumu,magnesiumu,na tindikali ili kuweka sawa mazingira sawia katika damu.

Figo inapopoteza uwezo wake wa kutenda kazi husababisha kukosekana kwa ufanisi wa shughuli za mwili. Hali hii husababisha kuwapo kwa kusanyiko na limbikizo la maji, uchafu na sumu hutokea mwilini mwa mgonjwa.

Pia husababisha kutokea kwa maradhi mengine kama vile, upungufu wa damu mwilini, shinikizo la damu na ongezeko la tindikali kwenye damu. Vilevile husababisha ongezeko la lehemu na mafuta kwenye damu na magonjwa ya mifupa.

Inaelezwa kuwa karibu watu nusu milioni wapo katika uchujaji damu na mashine mbadala wa figo ( dialysis ) na huku wakiwa wameshawahi kubadilishiwa figo.

Mambo kadhaa yanahusishwa na tatizo la ugonjwa sugu wa figo ikiwamo ugonjwa wa kisukari, shinikizo la damu,unene uliopitiliza na uzee.

Vilevile mabadiliko katika tabia na namna watu wanavyohishi.
Ili kujiepusha na hatari ya kupata ugonjwa wa figo fanya yafuatayo.

1. usichelewe kwenda haja
Kutunza mkojo kweye kibofu chako kwa muda mrefu ni wazo baya.kibofu kikijaa kinaweza kusababisha uharibifu. Mkojo ambao unakaa kwenye kibofu huzidisha bakteria haraka.

Pia mkojo unaporudi nyuma ya njia husababisha maambukizi katika figo pia njia ya mkojo "nephritis", pamoja na "uremia".
Wakati wito asili (unahisi mkojo) fanya haraka iwezekanavyo nenda kakojoe .

2. kula chumvi kupita kiasi nalo ni tatizo
Inatupasa kula chumvi isiyozidi 5.8 gramu kwa siku .

3. kula nyama kupita kiasi.
Protini ikizidi sana katika mlo wako inadhuru figo zako. Mmeng'enyo wa protini unazalisha amonia- sumu dutu ambayo ina uharibifu mkubwa kwa figo zako. Nyama nyingi inaleta uharibifu zaidi wa figo.

4.unywaji mwingi wa "caffeines"
Caffeine hutokana na vinywaji vya soda na vinywaji vingine laini kama kahawa, red bull n.k. Hupandisha shinikizo la damu na figo zako kuanza kupata mateso .
Unapaswa kupunguza kiwango cha coke, pepsi, red bull, nk. Ambavyo hunywa kila siku.

5.pia kutokunywa maji
Figo zetu lazima zichakatwe vizuri kutekeleza majukumu yake vizuri .endapo hatunywi maji ya kutosha , sumu dutu inaweza kuanza kukusanyika katika damu ,kama hakuna kimiminika cha kutosha kutoa kwa njia ya figo . Kunywa zaidi ya bilauri 10 za maji kila siku.

Kuna njia rahisi ya kuangalia kama unakunywa maji ya kutosha nayo ni kuangalia rangi ya mkojo wako,wepesi wa rangi ndiyo vizuri.

6.pia kuchelewa matibabu

Pia epuka vidonge hivi ni hatari sana:-
D- baridi.
Vicks action- 500
Actified
Coldarin
Cosome
Nice
Nimulid
Cetrizet- d
Hivi vidonge vina phenyl propanol- amide ppa ambayo husababisha stroke na zimepigwa marufuku huko marekani.

Namalizia kwa kukupatia maonyo muhimu ya afya.

1. Jibu (pokea) simu wito na sikio la kushoto.
2. Usinywe dawa kwa maji baridi.
3. Usile milo mizito baada ya saa kumi na moja jioni .
4. Kunywa maji vuguvugu mengi asubuhi na kiasi usiku . Usinywe maji baridi kamwe .
5. Muda bora wa kulala ni kutoka saa nne usiku hadi saa kumi alfajiri.
6. Usilale mapema baada ya kumeza dawa au baada ya mlo wa usiku, kula chakula laini.
7. Usipokee simu yako ikiwa haina chaji kwani wakati huo mionzi huwa ina nguvu mara 1000
 
Ifuatayo ni dawa mbadala ili ifanye kazi vizuri zingatia yafuatayo:

Asubuhi Kula Matunda Tu:
Unatakiwa kula matunda tu kuanzia asubuhi unapoamka hadi saa 6 mchana. Huruhusiwi kula kitu kingine chochote zaidi ya haya matunda tu, hivo huruhusiwi kunywa chai, kahawa, maandazi, mikate, chapati na vyakula vingine vyovyote.


Mchana na Jioni kula Kachumbari:
Tengeneza kachumbari ya kutosha, unaweza kuweka nyanya, kitunguu, tango, karoti, pilipili hoho, kabeji, na vinginevyo unavyo vipenda. Unatakiwa kula kachumbari hii hadi ushibe kabisa, ikiwa njaa itawahi sana kukuuma baada kula kachumbari yako basi unaweza kula chakula kingine ulichokizoea.

Mahitaji:
(i.) Unga wa ubuyu 1kg
(ii.)Unga wa manjano 1kg
(iii.) Asali mbichi.

Matayarisho na matumizi yake:
Changanya ubuyu na manjano upate mchanganyiko wa pamoja kisha chukua vijiko viwili vikubwa vya mchanganyiko huo weka kwenye maji ya vuguvugu nusu lita koroga vizuri kisha weka asali vijiko vikubwa viwili, koroga tena vizuri ndio unywe juisi hiyo yote asubuhi kabla ya kula kitu na jioni kabla ya kula chakula

NB: Wakati unaendelea na tiba hii hurusiwi kutumia dawa za kutuliza maumivu, dawa za presha, sukari au ARVs. Fuata utaratibu huu kwa miezi sita mfululizo utakuwa umepona kabisa. Pia huruhusiwi kabisa kula vitu vifuatavyo:
i. Vyakula ambavyo hujapika wewe au mtu unayemuamini mfano usile kwa mama ntilie, migahawani, hotel na sehemu nyinginezo kama hizo.

ii. Usile vyakula kutoka kiwandani kama soda, juice, bia, mikate, maandazi, chapati, biscuit, na vingine vingi vinavyotenenzwa viwandani.

iii. Usile vyakula vyote vitokanavyo na wanyama au maziwa

iv. Usitumie dawa za kutuliza maumivu, dawa za presha, au sukari

v. Usile chakula baada ya saa 2 usiku.

vi. Usile virutubisho

vii. Usitumie sukari au glucose

Uwe na nidhamu tu ya kufuatisha huo utaratibu kwa makini.
Nawaza kuwa aingie online aagize hizi Super Greens Gummies.... Zitamsaidia.

images (14).jpeg


IMG_20211214_092950_704.jpg
 
Mkuu kama huna jibu la kujibu bora unyamaze hayaja kukuta yakija kukuta maradhi utakuja hapa kutueleza na sisi tutakujibu pambana na hali yako je utafurahi? sio jibu zuri kwa mwenzako hilo jibu ulilo li ibu ni jibu la kifdhuli. Hujafa hujaumbika mkuu.
Sawa tutunze afya ,tupime marakwamara afya zetu ,tufanye tizz sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom