Dawa ya kusahau wadai madeni

Dawa ya kusahau wadai madeni

Anzisha ugomvi tu na mwenye Deni labda asiwe scorpion au mwalimu Frank.

Nyambafu kalipe
 
Chukua muarobaini,maganda ya miwa,kinyesi cha bata changanya kwa pamoja chemsha,ikichemka weka pembeni tafuta mizizi ya mitiki katakata changanya na unga wa sembe kwa kutumia mafuta ya kula halafu kachanganye kwenye ule mchemsho, utakunywa na kupaka asbh,mchana,jioni ukitamka maneno haya ''naomba mdai hasau'' siku mbili tu,atakukopesha na zingine
 
Chukua muarobaini,maganda ya miwa,kinyesi cha bata changanya kwa pamoja chemsha,ikichemka weka pembeni tafuta mizizi ya mitiki katakata changanya na unga wa sembe kwa kutumia mafuta ya kula halafu kachanganye kwenye ule mchemsho, utakunywa na kupaka asbh,mchana,jioni ukitamka maneno haya ''naomba mdai hasau'' siku mbili tu,atakukopesha na zingine
Utakua umeamkia na viroba vya asubuhi.flakulute
 
Chukua muarobaini,maganda ya miwa,kinyesi cha bata changanya kwa pamoja chemsha,ikichemka weka pembeni tafuta mizizi ya mitiki katakata changanya na unga wa sembe kwa kutumia mafuta ya kula halafu kachanganye kwenye ule mchemsho, utakunywa na kupaka asbh,mchana,jioni ukitamka maneno haya ''naomba mdai hasau'' siku mbili tu,atakukopesha na zingine
 
Nipe hicho kiasi unachodaiwa nikupe dawa...
 
Mkuu dawa ya deni ni kucheza na saikolojia tu lakini lazima uwe na moyo mgumu ila uchukue tahadhari.

Usiwaze deni saaaaana, ila lazima ujue kuwa unadaiwa hivyo fanya utaratibu wa kulipa taratibu tu au lipa kidogo-kidogo.
 
Back
Top Bottom