Dawa ya kuondoa sumu mwilini

Wale wale wa HIYO PESA ITUME KTK No. 07xxx JINA LITAKUJA TOMJERRY BANKS, wizi mtupu
 
Wale wale wa HIYO PESA ITUME KTK No. 07xxx JINA LITAKUJA TOMJERRY BANKS, wizi mtupu
kwanini iwe wizi mtupu wakati umeelekezwa hadi ilipo ofisi. Kwa kweli mfumowa Elimu ya Tanzania inahitaji kufanyiwa maboresho makubwa. Elimu ya ujasiriamali ni sifuri kabisa.
 
kwanini iwe wizi mtupu wakati umeelekezwa hadi ilipo ofisi. Kwa kweli mfumowa Elimu ya Tanzania inahitaji kufanyiwa maboresho makubwa. Elimu ya ujasiriamali ni sifuri kabisa.
Siku nyingine kama huna cha kuchangia bora usiandike kitu, pia usilazimishe mtu kuamini unachoamini wewe, vinginevyo na wewe nitakuunganisha kwenye kundi hilo hilo
 
Siku nyingine kama huna cha kuchangia bora usiandike kitu, pia usilazimishe mtu kuamini unachoamini wewe, vinginevyo na wewe nitakuunganisha kwenye kundi hilo hilo
hapa ndo mwisho wa uwezo wako wakufikiri?
 
Wale wale wa HIYO PESA ITUME KTK No. 07xxx JINA LITAKUJA TOMJERRY BANKS, wizi mtupu
kaka rudia vizuri thread yangu hapo juu nineelekeza vizuri sana kwamba unaweza kufika ofisini kwetu kipunguni au kwa wale wa makazini unaweza kuwasiliana nasi ukaletewa popote ulipo kwa kulipia gharama za delivery tu.pia Labda nikuweke sawa kuwa siyo kila mtu anayefanya biashara hizi yupo kama unavyofikiria.Hvyo waache wenye matatizo wasaidiwe ikiwa wewe uko sawa naona hakuna haja ya kuja ku comment upuuzi kama huu tena jf.
 
Siku nyingine kama huna cha kuchangia bora usiandike kitu, pia usilazimishe mtu kuamini unachoamini wewe, vinginevyo na wewe nitakuunganisha kwenye kundi hilo hilo
ndo changamoto za kazi dadaangu,watu kama hawa tunakutana nao wengi sana katika shughuli zetu lakini hawatupi shida ya kuwahudumia wale wenye uhitaji na tiba za maradhi tunazotibu
 
Bora ya wewe umenijibu vizuri japo umenichana kiaina si mbaya, kuliko huyu mwenzio hapo juu
 
 
ndugu guarantee ipo maana utapoitumia tu lazma utayaona matokeo pia kama mgonjwa upo huru kuongea na ofisi kuhusu maendeleo ya tiba
 
Bora ya wewe umenijibu vizuri japo umenichana kiaina si mbaya, kuliko huyu mwenzio hapo juu

MWENZIO HAPO JUU AMEFANYAJE? NILICHOSEMA MWANZO SI HILO HILO KUWA MTU AMEELEKEZA HADI OFISI. ACHA KUWA NDANI YA BOX. FIKIRI NJE YA BOX, TUMIA AKILI. ACHA MIHEMKO NA KUTUMIA MAKALIO KUFIKIRI.
 
Ungekua hujaweka namba za simu ningejaza macho kuso.a vzr. Nilivyoanza tu kusoma nilinua hili sio somo ni tangazo la biashara nikaruka mwisho nakuta contacts duh haya bana watakuja unaowasubiri
 
Halafu article yako naitilia mashaka unasema Waafrika wengi wanakufa kuyokana na sumu mwilini. Njia zinazojaza sumu zinatumiwa na wanadamu wa duniani kote iwe Ui gereza marekani nk. Lakini sumu inatajwa kwa waafrika tu??? Uko serious ndg??
 
Halafu article yako naitilia mashaka unasema Waafrika wengi wanakufa kuyokana na sumu mwilini. Njia zinazojaza sumu zinatumiwa na wanadamu wa duniani kote iwe Ui gereza marekani nk. Lakini sumu inatajwa kwa waafrika tu??? Uko serious ndg??
dampo la vitu kutoka magharibi ni nchi gani?ukipata jibu hilo basi utakuwa umesha elewa nini nilichokuwa namaanisha
 
kwa wale walioko mombasa na kampala nimefungua utaratibu wa kuwatumia nanyi pia kwa njia za mabasi na wale wamikoani pia mtatumiwa kama kawaida
 
YAANI KUANDIKA UNA DAWA USHAONA UR KING USIULIZWE SWALI
HIO FORM.ONE WE UKUPITA HEAHIMU DARASA AMA ULIPIGA MADRASSA PEKEE
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…