Dawa ya kukata period

Dawa ya kukata period

Hellow doctors?

Nauliza dawa Gani inakata period ndani ya muda mfupi?

Thanks in advance
Why akate period ni kwamba amepata prolonged menstrual bleeding au ana mambo yake mengine...Kama ana Prolonged menstrual bleeding exceeding 7 days sawa ila kama anataka kuizuia Tu sio njema sana inaweza kuleta shida nyingine mambo yakawa ndivyo sivyo
 
Hapana sio period ya kawaida,kapata mshituko ghafura,imetokea nje ya kalenda yake
Kama ni suala la mshituko na kupata period, basi iache itakata yenyewe.

LAKINI, kuwe na uhakika wa taarifa na lengo kuu.
 
Prolonged au??

Jibu chapu tukupe dawa..ila kama ya kawaida tu kuwa mpole itakata utaendelea kuteleza.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mimi ni Me ,anaehitaji kutumia dawa ni rafiki yangu wa kike
Swala la msingi ni hili
  • Je n kawaida kutoka kwa muda mrefu? Yaani kwake ni hali ya kawaida au ni hivi karibuni ndio amepata hiyo hali?
  • Je vipi hali yake ya kiafya? Kuna dawa za muda mrefu anazotumia?
  • Je anatumia njia ya uzazi wa mpangao?
Ushauri |
-Awahi hospitali iwapo hiyo hali hakuwanayo awali.
-Asitumie dawa aina yeyote bila ushauri wa Dakitari.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom