Ni wewe unakata period zako au unataka kumkata mtoto wa watu!?Hellow doctor?
Nauliza dawa Gani inakata period ndani ya muda mfupi?
Thanks in advance
Hellow doctors?
Nauliza dawa Gani inakata period ndani ya muda mfupi?
Thanks in advance
MeWe ni me/ke
Mimi ni Me ,anaehitaji kutumia dawa ni rafiki yangu wa kikeNi wewe unakata period zako au unataka kumkata mtoto wa watu!?
Hapana sio period ya kawaida,kapata mshituko ghafura,imetokea nje ya kalenda yakeKabla ya kukata hiyo period ni vyema kujiridhisha kuwa hiyo ni period ya kawaida kweli?
Mtaalamu wa afya ni muhimu kuhusishwa.
Utauwa Mtu BureMimi ni Me ,anaehitaji kutumia dawa ni rafiki yangu wa kike
Mshtuko Wa Nini MkuuHapana sio period ya kawaida,kapata mshituko ghafura,imetokea nje ya kalenda yake
Kapata taarifa mbayaMshtuko Wa Nini Mkuu
Nendeni Hospital
Siyo Kila Homa Ni Malaria
Miso ya kutoa mimba? Kuna mdau kaniambia metronidazole 4 na Diclofenac 2 zinaweza saidia,ya kweli hayo?Huyo katumia Miso
Iache inaweza kata yenyewe, ikizidi ndio muende hospitali.Kapata taarifa mbaya
Ni golden chance mkuu,Hautaki kuingia kwenye kundi la waliwa nauli? Acha asili ichukue mkondo wake mkuu, sio lazima iwe Leo, siku hazijaisha bado. Kuna nafasi siku ingine pia.
Ni golden chance mkuu,
Asante kwa ushauriAcha ipite, unakosa subiria kiasi hicho? Hata kama haumpendi sana basi Kali kidogo afya yake. Muonyeshe upendo wa dhati huku ulijua kabisa hapo stori tu, kula kwenuuu