Dawa ya huu ugonjwa msaada

Alikaeli

Senior Member
Jul 30, 2016
169
193
Naomba msaada wa tiba ya ugonjwa huu kama picha inavyojionyesha.
1498971499971.jpg
 
Nakushauri uende/aende hospitali. Sidhani kama ni tatizo la kutisha. Huko likishindikana kutibika ndio unaweza leta mrejesho members wakusaidie mawazo mbadala.
 
Nishawahi ona hiyo kitu lakini ilikuwa mguuni na husababishwa na Kula ngano nyingi... Chapati, maandazi, bia N.K
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom