Nikushauri uende hospitali. Unachotuonesha ni madhara ya ugonjwa ila chanzo chake hospitali watakisemea zaidi. Ni hatari kushauriwa tiba humu na watu ambao huwezi kuthibitisha ni madaktari. Ila ngoja waje wengine kukushauri ingawa hujasema unataka dawa za kitaalam au zile zetu za jadi!!
Nakushauri uende/aende hospitali. Sidhani kama ni tatizo la kutisha. Huko likishindikana kutibika ndio unaweza leta mrejesho members wakusaidie mawazo mbadala.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.