dawa ya deni....

jossey1979

Senior Member
Joined
Apr 28, 2008
Posts
174
Reaction score
44
Leo nimeona Barua ofisini ya kukumbushia wale waliopata mkopo kwenye Bodi ya mikopo na bado hawajaanza kulipa waanze kufanya hivyo mara moja lasivyo mwajiri pamoja na mwajiriwa atachukuliwa hatua kali.
Ningeomba iwe hivyo na kwa mafisadi pia Mungwana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…