Ni kwa wale wenye vvu na hawajaanza kutumia ARVS,Kuna dawa ya kumaliza kabisa vvu mwilini.kwa mwenye shida ani pm
wahi utibiwe kabla vvu havijakuathiri sanaWeka namba ya simu
Acheni kuwapa watu matumaini.Ni kwa wale wenye vvu na hawajaanza kutumia ARVS,Kuna dawa ya kumaliza kabisa vvu mwilini.kwa mwenye shida ani pm
wahi utibiwe kabla vvu havijakuathiri sana
Mbona waafrika hamjiamini kama mna uwezo wa.kutengeneza dawa?? Mpaka cha mzungu ndio muaminiDawa ya ukimwi ni ARV tu
Ndo apo sasa!!! Akija mzungu na dawa ndo tunamuamini!!! Yaani tuna akili za kikoloni sana!!!Mbona waafrika hamjiamini kama mna uwezo wa.kutengeneza dawa?? Mpaka cha mzungu ndio muamini
Yes hilo.nakukubalia but sipendi watu kabla haja hawajareason wanaleta uzungu mwingi..... kwani mababu zetu before wazungu hawajaja walikuwa hawaumwi magonjwa na wakajitibu na.mitishamba.Ndo apo sasa!!! Akija mzungu na dawa ndo tunamuamini!!! Yaani tuna akili za kikoloni sana!!!
Ila mkuu, waafrika wengi wanaokuja na dawa hizo ni matapeli. Ukitaka uaminike uwe na ushahidi. Ushahidi kabisa daktari anaeaminika apime kabla na baada ya matumizi ya hiyo dawa. La sivyo utaonekana tapeli tu
Mimi ninayo dawa ya kumaliza ukimwi nitafute kwa wakati wako.Ni kwa wale wenye vvu na hawajaanza kutumia ARVS,Kuna dawa ya kumaliza kabisa vvu mwilini.kwa mwenye shida ani pm
wahi utibiwe kabla vvu havijakuathiri sana
Naomba namba zako, najaribu kutuma mesej zinafeli!Ni kwa wale wenye vvu na hawajaanza kutumia ARVS,Kuna dawa ya kumaliza kabisa vvu mwilini.kwa mwenye shida ani pm
wahi utibiwe kabla vvu havijakuathiri sana
Wengin wamezaliw navy USIHUKUMDawa ni kuacha uzinzi tu