Davido Mbona wa kawaida

Davido Mbona wa kawaida

MBUNTE 84

Member
Joined
Apr 7, 2014
Posts
26
Reaction score
2
Mie nashangaa wabongo wanampenda davido wakati nairaland hata top ten hayupo au sababu ameimba na diamond ...pumba...fff zenu wabongo
 
Jamaa aliomba mkwanja wa Ksh4.4Ml ili aweze kuperform Nairobi. Mkwanja huo ni sawa Tsh88,000,000/-

Hapa Bongo sijui alilamba kiasi gani alipoperfom "Fiesta"
 
MBUNYE 84......??? mmmmmh unamaanisha hii mbunye ninayoifahamu mimi?
 
Last edited by a moderator:
mbunye duh, mod majina mengine msiyaluhusu humu ni matusi ya nguoni
 
Wee mdharau tu ila mwenzako akiomba dada zako wa kibongo MBUNYE 84 dakika 2 nyingi anapewe!
 
Last edited by a moderator:
hanihusu huyo davida ila nimeguswa na hapo kwa wabongo pumbafff.....wewe jamaa ni --------(nisamehe kama si mbongo).sasa kama huko hayuko top hiyo uliyoitaja ndo waache kusikiliza nyimbo zake?? unamjua jhiko man?? sidhani kama hata unamjua.huwa naskia anafanya show nyingi ulaya kuliko hapa kwao.......

siku nyingine tembea na kichwa chako sio unapost bila kufikiri
 
hanihusu huyo davida ila nimeguswa na hapo kwa wabongo pumbafff.....wewe jamaa ni --------(nisamehe kama si mbongo).sasa kama huko hayuko top hiyo uliyoitaja ndo waache kusikiliza nyimbo zake?? unamjua jhiko man?? sidhani kama hata unamjua.huwa naskia anafanya show nyingi ulaya kuliko hapa kwao.......

siku nyingine tembea na kichwa chako sio unapost bila kufikiri

mtu mwenyewe Mbunye 84 msamehe bure tu!
 
DAH hyo username yako imenichanganya kabisa ngoja nilog out...mana nawaza MBUNYE tu
 
Hii ID ya huyu jamaa inabidi isiruhusiwe kuonekana majukwaa mengine isipokuwa lile la mwisho...eti mbunye! Sasa akija dushelele utapost tena!
 
Huyu Mbunye ametia fora Mods sio heshima mtu kujiita hili jina kuna watu wenye heshima zao wanapita hapa wakikutana na hili jina nadhani itashusha hadhi ya jukwaa zima
 
Hii mada haina kichwa wala miguu ila ID ya mleta mada ndo kivutio. MBUNYE ziko 84, So funny
 
Back
Top Bottom