mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,588
- 11,668
Katika kipindi cha mada moto kinachorushwa na channel ten, David kafulila alisema hivi " kwa style anayoenda nayo Rais Magufuli atajikuta amemaliza miaka mitano (5) bila kubadilisha maisha ya watu wa chini na kubaki na majina ya watu aliowatumbua tu".
Binafsi, david kafulila ni mtu makini na hodari;
Binafsi, david kafulila ni mtu makini na hodari;