tc_edo
Senior Member
- Apr 9, 2021
- 123
- 98
Akiwa kaichezea Bayern Munich mechi 448, magoli 47, pasi za mwisho 35 na kubeba makombe 27, beki huyo wa kati amesaini mkataba wa miaka mitano kujiunga na klabu ya Real Madrid. Alaba ataondoka Bayern Munich akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba msimu huu.
Alaba alijiunga na Bayern munich mwaka 2010 akiwa na miaka 17 chini ya kocha Greuther Furth kumfanya mchezaji mdogo kuichezea bayern ila kwasasa record yake imevunjwa na Jamal Musiala. Alaba ameshinda taji la Bundesliga mara 10 na ubingwa wa UEFA champions league mara mbili.
Kwenye ukarasa wake wa twitter Alaba amesema, " Naondoka timu bora kujiunga na timu bora nyingine. Nafuraha kwa kweli kujiunga na Real Madrid. Baada ya miaka mingi jijini Munich naenda kukutana na changamoto mpya hivyo ntaendelea kujitoa ili kutunza historia nzuri ya timu."
Alaba alijiunga na Bayern munich mwaka 2010 akiwa na miaka 17 chini ya kocha Greuther Furth kumfanya mchezaji mdogo kuichezea bayern ila kwasasa record yake imevunjwa na Jamal Musiala. Alaba ameshinda taji la Bundesliga mara 10 na ubingwa wa UEFA champions league mara mbili.
Kwenye ukarasa wake wa twitter Alaba amesema, " Naondoka timu bora kujiunga na timu bora nyingine. Nafuraha kwa kweli kujiunga na Real Madrid. Baada ya miaka mingi jijini Munich naenda kukutana na changamoto mpya hivyo ntaendelea kujitoa ili kutunza historia nzuri ya timu."