Davet live interview on DJ sepetu show!

Davet live interview on DJ sepetu show!

Hahaha bora umekuwa mkweli!
Wewe udhaifu wako mbali na wanawake ni upi!
Tukio gani la kushangaza uliwahi fanya
Naomba kuweka sawa mambo kidogo, mkuu lakini sijasema kwamba mimi ni dhaifu kwa wanawake... lakini pia udhaifu wangu mm ni aibu

Tukio la kushangaza ambalonimewahi kulifanya kwa kumbu kumbu zangu za haraka acha nielekee upande wa michezo, niliwahi kufunga goli zuri kila mtu alishangaa lakini ni katika mechi ya mpira wa miguu
 
Naomba kuweka sawa mambo kidogo, mkuu lakini sijasema kwamba mimi ni dhaifu kwa wanawake... lakini pia udhaifu wangu mm ni aibu

Tukio la kushangaza ambalonimewahi kulifanya kwa kumbu kumbu zangu za haraka acha nielekee upande wa michezo, niliwahi kufunga goli zuri kila mtu alishangaa lakini ni katika mechi ya mpira wa miguu
Utaandamana 26 April!?
Kwanini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom