Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,298
- 40,100
Jamani ye kasema hii ni story tu hayo mengine tunatunga wenyewe kutokana na kitu ubongo wetu unajuaHuyu Yoga umemuamini?yaani kila sehemu Kama yeye nae alikuwepo!kumbuka anasema walivyotangaza the late CEO is passed away Kuna mmoja akaruka huku anapop champagne yeeeh we did it!ghafla ukimya ukatawala...yoga hapa alikuwa kajificha wapi?.....Mara kukawa na kikao Cha Siri kubwa mpaka akaletwa mwarabu wa Doha ili mama aongee na kijana,it means alikuwa na mama na huyo kijana tu,!Sasa yeye kajuaje yaliyoongelewa Kati ya hao wawili Hadi kayaorothesha humu .....Yoga alijificha wapi kusikia hayo ya kikao?.....Yaani Yoga Ni Nani ajue kila upande wanachozungumza kiundani??yeye ndio wanamuamini Sana au??na Kama ingekuwa kweli anaaminika hivi sidhani Kama angekuja kuuza hii taarifa yote hapa...Yoga Ni Kanjanja Kama makanjanja wengine tu
Watu wa hivi huwa wanaishi muda mrefu na muda Israel akiwafuata huwa wanakuwa waoga sana kuondoka utaona anaogopa sababu anajua anapokwenda si salama kwake.Me najiuliza tu,old CEO ana 72 years sasa hivi.nini anatafuta tena kwenye haya maisha hadi aanze kuongoza hayo magenge ya wahalifu?
Sasa na huyo new CEO atadumu kweli kwa style hiyo?
Unaharibu sasa. Aliyeleta uzi angetaka hayo majina yawe wazi angeyaweka wazi.konda =Branch Manager,
Daftari = Chuo cha diplomasia;
Kabati= lupango;
Mpenda democrasia = Mkwe wa Mzee aliyefiwa na Mkewe na juzi katembelewa huko Arusha na alikuwa waziri wa fedha na gavana
Sema sema = mpuuzi mmoja wa singida na mbinafsi sana, kila siku risasi
Niendelee!!!
Wenyewe wanadai kajitungia!Mojawapo ya mtu influential ndani ya TISS au mwenye ushawishi kwenye top state organizations ndio anaweza pata classified info za crandestine operation kama hii. Na lazima kuwe na some information lagging kwenye story nzima, huwezi jua wapinzani waliambiwa nini, ukajua DAB aliambiwa na kufanya nini, ukajua story ilianzaje na kuishaje. Confession hufanyika na mtu mmoja aliyehusika kwenye part yake, secret service hawaambiani role ya kila mmoja. Nenda popote duniani mission yoyote ngumu ikivuja kuna story inakosekana kuunganisha.
Then mission ngumu huwa ni one way, huitaji kutumia Polonium-210 zaidi ya mara moja au kuipa msaidizi wa aina nyingine kama umeshajua ya kwanza ilikuwa successful, na hiyo sio sumu ya kumuondoa head of state unless uwe very careless na matokeo, ikifanyika autopsy kinyume na ulivyotarajia unapata matokeo tofauti. Polonium yenyewe ina dalili ambazo huyo deceased hakuwa nazo, hakunyonyoka nywele wala mwili kuwa fainted.
Presidential security sio wazembe kama ilivyoonyeshwa hapa. Hakuna individual mmoja anayeruhusu mtu kupita au kutokaguliwa, inahitajika wawepo vilaza wa hali ya juu sana kumruhusu mtu bila kukaguliwa. Hata akipangwa mlinzi mmoja, bado sio jukumu la single individual kuamua. Ni jukumu la protocol, unless ungesema aliyeshiriki ni mke au mtoto wa mhusika somehow naweza kubali. Then chakula cha mkuu hakiguswi na mtu, huwezi mimina chai hapo ukasubiri atoke sijui chumbani anywe, mambo sio rahisi kama unavyodhani.
Mtu mwenye nafasi kama yako kuna maandiko anakuwa nao, sio huu wa kutumia emoji nyingi na kutumia lugha ambayo tunajua agent hawezi kuwa kama huyu. Kuna mambo mengi sana yana makosa ila tuishie hapa. Huu ulinzi anaopewa head of state unaoonesha hapa unaweza zidiwa na hata alionao CEO wa CRDB
Baba Swalehe hebu acha Kona Kona....Jamani ye kasema hii ni story tu hayo mengine tunatunga wenyewe kutokana na kitu ubongo wetu unajua
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Aliyekuambia sio riwaya ni nani? Tumia akili.Aliyekwambia hiyo Ni riwaya Nani?use ure brain.
Huna nywele,ndio tatizoAliyekuambia sio riwaya ni nani? Tumia akili.
Umeunganisha nywele tatizo hilo.Huna nywele,ndio tatizo
Mwenye Uzi nilimkosoa hajanuna,wewe uso wako umenuna!vipi mwenzangu?ndio jandoni mlifundishwa hivyo?Umeunganisha nywele tatizo hilo.
*Kila mtu amesoma ameelewa kimeandikwa nini sasa tatizo lipo wapi kuja kukosoa kosoa!
Kumpigia mbuzi gitaa[emoji706]. Relax mkuuMwenye Uzi nilimkosoa hajanuna,wewe uso wako umenuna!vipi mwenzangu?ndio jandoni mlifundishwa hivyo?
Mkuu nimekuelewa lakini kulazimisha kuwa kafute post au picha sijakuelewa km wewe ndiye mleta Mada, umeanza leo tu unakua mkali je huko nyuma hizo CODES km zisingefunguka tungefunguliwa, zipo picha nyingi tu hata ya mtut mrefu kagomeaSasa hapa mtachafua uzi muda si mrefu kwa kupost picha za watu. Mnataka uzi ufutwe kwa kuonekana wa uchochezi.
Nakushauri ufute hiyo picha haraka. Unania nzuri kumsaidia mtu aelewe ila kumbuka si kila mtu ni wa kuelewesha ndio maana hata darasani kuna vilaza wa mwisho na hutoka wamefeli hata wakipewa majibu bado wanafeli.
hapo MATUSI si busara ni bora UFUTE kabisa hayo maneno huwezi mtukana Old CEO wetu aliyetukomboa umuombee kifo, wewe ni kati ya lile kundi mlitaka tutawaliwe maisha na mtu anayekwenda mbele ya Madhabahu na kuwalazimisha Masister wavue Barakoa, ameshakufa amekufa tuliobaki acha tuvute O2Katika jambo la kipumbavu mwanadamu hatakiwi kufanya ni kuweka kiburi cha kuamini yeye ni 'untouchable' na hakuna wa kumtikisa wala kumgusa halafu na matako yake anakwenda nyumba ya ibada anapiga goti kuongea na MUNGU.
Hawa wapumbavu wana viburi sana ila ipo siku watakufa na kutamani kuomba msamaha sababu huko tuendako baada ya maisha ya duniani kufikia tamati kiburi hakina nafasi na ni disqualification kubwa sana.
Unavyoongea ni as if tunawaongelea wamarekani au warussia watu ambao ni Smart na wanajua kucheza na vipofu kwa akili.Tatizo humu JF mnapenda sana hizi story.
Na huwa mnaziamini.
Ila kaa ujue hakuna inside informations zinatolewaga kizembe (hivi tena zinazohusu life za watu wakubwa kabisa).
Eti mtu atiririke kama gazeti hivi, tena kweupe hivi. Hakuna kitu kama hicho.
Hizi informations huwa zinafichwa kwa gharama yoyote ile.
Zikitolewa huwa zinatoka kwa uchache tuu.
Sio mtu anasimulia ya upande A, upande B na upande C yote yaliyofanyika anayajua. Hiyo collection ya hizo taarifa aliiwezaje wakati kila upande unajilinda taarifa zisivuje? Kama sio Utunzi .
Uzi umeshavamiwa na wajuaji wa kundi la the late CEO wanataka marekebisho kibaoMwenye Uzi nilimkosoa hajanuna,wewe uso wako umenuna!vipi mwenzangu?ndio jandoni mlifundishwa hivyo?
Bora umemridhisha wacha sisi tuendelee kusoma hekaya zetu.Ndio mpendwa hizi ni hekaya tuuu, and nothing sereous[emoji15][emoji2960][emoji2960] anyways good analysis!!
NB: Literature reflect the society!! nothing sereous!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Dogo behaveUnaharibu sasa. Aliyeleta uzi angetaka hayo majina yawe wazi angeyaweka wazi.
Sasa wewe unakuja kuyaanika like seriously.
Keep dreaming mkuu.unachowaza kuwa impossible siku zote ni possible.Mojawapo ya mtu influential ndani ya TISS au mwenye ushawishi kwenye top state organizations ndio anaweza pata classified info za crandestine operation kama hii. Na lazima kuwe na some information lagging kwenye story nzima, huwezi jua wapinzani waliambiwa nini, ukajua DAB aliambiwa na kufanya nini, ukajua story ilianzaje na kuishaje. Confession hufanyika na mtu mmoja aliyehusika kwenye part yake, secret service hawaambiani role ya kila mmoja. Nenda popote duniani mission yoyote ngumu ikivuja kuna story inakosekana kuunganisha.
Then mission ngumu huwa ni one way, huitaji kutumia Polonium-210 zaidi ya mara moja au kuipa msaidizi wa aina nyingine kama umeshajua ya kwanza ilikuwa successful, na hiyo sio sumu ya kumuondoa head of state unless uwe very careless na matokeo, ikifanyika autopsy kinyume na ulivyotarajia unapata matokeo tofauti. Polonium yenyewe ina dalili ambazo huyo deceased hakuwa nazo, hakunyonyoka nywele wala mwili kuwa fainted.
Presidential security sio wazembe kama ilivyoonyeshwa hapa. Hakuna individual mmoja anayeruhusu mtu kupita au kutokaguliwa, inahitajika wawepo vilaza wa hali ya juu sana kumruhusu mtu bila kukaguliwa. Hata akipangwa mlinzi mmoja, bado sio jukumu la single individual kuamua. Ni jukumu la protocol, unless ungesema aliyeshiriki ni mke au mtoto wa mhusika somehow naweza kubali. Then chakula cha mkuu hakiguswi na mtu, huwezi mimina chai hapo ukasubiri atoke sijui chumbani anywe, mambo sio rahisi kama unavyodhani.
Mtu mwenye nafasi kama yako kuna maandiko anakuwa nao, sio huu wa kutumia emoji nyingi na kutumia lugha ambayo tunajua agent hawezi kuwa kama huyu. Kuna mambo mengi sana yana makosa ila tuishie hapa. Huu ulinzi anaopewa head of state unaoonesha hapa unaweza zidiwa na hata alionao CEO wa CRDB
Hapa wa kulaumiwa ngariba.goodeveningKumpigia mbuzi gitaa[emoji706]. Relax mkuu
Wewe umesoma na kuelewa basi andika uzi wako ukiweka wazi kila kitu. Mfuate inbox akupe details ufunguke wazi wazi tuone umwamba wakoAndika ueleweke, mafumbo yanini? Awamu ya kuogopana imeenda na maji. Kuwa muwazi ueleweke. Unaandika mafumbo mpaka mwenyewe unajichanganya. Si weka wazi tu majina na lichokikusudia kuandika.
Shule zingine za Tanzania ni majanga, mitihani kuanzia chekechea mpaka sasa mtu mzima na shughuli zako, mitihani imekukaa kichani unatupa sisi mtihani. Hizo ndio shule za kusomea ujinga, mmefinyangwa-finyangwa na mitihani mpaka bongo zimejitia loki, Funguka.
The old boss, ni better tu na yeye atoe ndoano..Maana kampuni haiwezi kuongozwa na yeye milele...Sisi kama wafanyakazi tumechoka na uhuni huu.Kabla ya Uchaguzi boss alitaka amuweke mrithi wake kwenye kampuni yake, mrithi anayemtaka yeye. Ila kutokana na upinzani mkubwa ndani ya kampuni maamuzi magumu ilibidi yafanyike
Baada ya Uchaguzi kuna mtu alipata uongozi accidentally. Hakuwa chaguo la boss, alipewa sababu ya kuua kambi!
Big boss anayemaliza muda alifanya maamuzi hayo akiamini ataweza kum-control kwakuwa file lake analo na anamjua na amempa ili kunusuru mkatiko mkali kwenye kampuni.
Alijua ataleta umoja ndani ya kampuni. Mambo yalibadilika baada ya new boss kupewa kijiti na kukabidhiwa ofisi!
Alichofanya ni kutengeneza timu yake na kuondoa timu yote ya mtoa kijiti! Akaenda mbele zaidi kupitia files na kuanza kutindua maslahi ya mtoa kijiti kwenye kampuni!
Mbaya zaidi, akamfukuza mwenye kijiti, au the old boss kwenye kampuni anayoamini ni ya kwake na bila yeye haiendi!
The New Boss alipewa notification na maelekezo kuhusu mambo kadhaa mara kadhaa, ila aliskika akijibu, yeye ndio mwenye kijiti na hakuna wa kumpangia! Hataki maelekezo na kwanza haelekezeki!
Alijibu hivyo hadharani bila woga wala hofu! Kwakuwa alimjua adui ni nani! Alianza mpaka kutangaza kuwa kampuni ile sasa ni yake na chini yake inafanya makubwa sana, na wale wa zamani walikuwa wanaifilisi!
Haikuwa habari njema saaaana kwa mwenye kijiti kabla ya uchaguzi na backup system yake! Discussion zilifanywa mara kadhaaa kumjadili new big boss in town kumbe the new boss alikuwa anawarecord all the time!
Alichokifanya ni kuvujisha badhi ya convos za washirika wa adui mkuu kum-notify ironically kuwa anajua wanachomjadili na anajua hawampendi! Na amejipanga au ameji-sacrifise yupo tayari kwa lolote!
Shida ikaanza, after a discover kuwa deal za the old big boss zinazimwa na zinachukuliwa kwa nguvu na stakeholders wapya chini ya maelekezo ya the new big boss na stakeholders wa zamani wanatupwa nje ya ukuta!
Ikatisha zaidi baada ya boss mpya kutaka kuwa CEO wa milele! Na akapanga watu wa kuhakikisha hilo linakamilika!
The old boss akakaa chini, akafikiria akaona kama huyu 4 years tu kanifanya hivi je 20 years to come?
Muda ukaenda, the old boss played dead! But came up with a plan, involving the closest friend and the system in the company kama tunavyojua, the old the wine...... the fine it becomes!
The new Big boss kajichanganya during campaings za kuusaka u-CEO tena, akapigwa tukio, after Uchaguzi wa pili wa kampuni only three months akatema ndoano!
Msaidizi wake akaitwa chemba, maelekezo akapewa achukue kijiti, afanye reform mambo kwabu yanapaswa kurudi kama zamani!
Msaidizi kuangalia hali ilivyo, akaanza kurudisha the old structure kwenye kampuni! The only difference ni yeye ndio CEO but behind the scene there is another CEO!!
Let see will the new boss stick to the plan? or...
Itaendelea.......
Guess the company!??
Muendelezo Soma Dark days 17/03/20.…...
Angalizo: Story hii haihusiani na chochote Dark days 17/03/20...