samsun
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 7,386
- 5,954
Leo mjini Dar kuna matukio mawili ya burudani,moja ni la After scul bash ya Clouds media group litakalofanyika Eskape one na lingine ni la EA TV awards litakalofanyika Mlimani city.
Katika kupitia baadhi ya watoa burudani nimekuta kuna majina yapo huku na kule,nikajikuta najiuliza hivi hawa wataenda wapi kutoa burudani..............Kwa uchache yupo Vanesa Mdee na HUYU MSANII ALIYEISHIKA TZ KWASASA DARASA MWENYE WIMBO UNAO HITI UNAOITWA MUZIKI,JE ATAENDA WAPI KUPAFOM............. Na wewe shabiki utaenda wapi kuburudika........Na unavyoona wewe wapi watawafunika wenzao kwa kujaza ukumbi..........???
Hawa hapa ndio baadhi ya wasanii watakaopafom After sculbash.
Na hawa hapa ndio watakaopafom EATV AWARD.
EATVAwards_2016 (@eastafrica_television_2016tz) • Instagram photos and videos
Katika kupitia baadhi ya watoa burudani nimekuta kuna majina yapo huku na kule,nikajikuta najiuliza hivi hawa wataenda wapi kutoa burudani..............Kwa uchache yupo Vanesa Mdee na HUYU MSANII ALIYEISHIKA TZ KWASASA DARASA MWENYE WIMBO UNAO HITI UNAOITWA MUZIKI,JE ATAENDA WAPI KUPAFOM............. Na wewe shabiki utaenda wapi kuburudika........Na unavyoona wewe wapi watawafunika wenzao kwa kujaza ukumbi..........???
Hawa hapa ndio baadhi ya wasanii watakaopafom After sculbash.
Na hawa hapa ndio watakaopafom EATV AWARD.
EATVAwards_2016 (@eastafrica_television_2016tz) • Instagram photos and videos