Darasa Huru: Ufundi Laptop (Beginners To Advanced) Introduction

Darasa Huru: Ufundi Laptop (Beginners To Advanced) Introduction

Boss me sidhani kama mtwara nzima kuna mtu smart kama wewe. Hongera sana, najiandaa kupitia mafunzo hayo nifumue laptop yangu na kuifanyia repair mwenyewe. Nakutegemea boss. Mungu akupe uzima.
 
Mkuu anzia hapa, simu yangu hainipi notification za newpost au comments za JF. Nimefuatilia settings zote lakini hakuna jibu.
Habarini Ndugu Wanajf

Baada Ya Uzi Wa Wa Biashara Ya Ufundi Simu Na Laptop


Nilipata Jumbe Nyingi Sana Kila Mtu Akihitaji Mwanga Wa Kujifunza Hii Kitu
Nikaona Sio Mbaya Kama Tutaanzisha Darasa La Laptop Repair Humu At Least Vipindi Vitatu Kwa Kila Wiki.

Tutajifunza Katika Njia Ya Maelezo Kwa Kiswahili, Picha Na Discussion Na Supportive Link Kama Zitahitajika.

Darasa Litakuwa Na Part Mbili

Part 1
(Hapa Tutajifunza Softwares Tu, Mfano: OS Zote Za Windows, Recovery, Tech Tools, Forensic Tools, Recovery Tools, Partition Wizards, Drivers Installations And Troubleshooting, Wireless Network Troubeshooting Na Vinginevyo)

Part 2
(Hapa Tutajifunza Laptop Hardware Tu, Na Kwangu Hii Ndio Most Paid Job Kwenye Laptop Repair, Tutajifunza Kuhusu Laptop Assembly and Disassembly, Identification Of Laptop Hardware Components, General Power Rails Of Laptop, Power Signals, Chipset Level And Behaviours, Tools And Component For Laptop Motherboard Repair, Matatizo Mbali Mbali Ya Laptop Na Utatuz Wake Upande Wa Hardware Na Vinginevyo)

Tutakuwa Na Vipindi Vitatu Vitatu Kwa Kila Part Ya Somo

J3, J5 Na Jmosi.


Vitu Vya Kuzingatia

1. Tujitahid Kutumia Lugha Za Kistaarabu Kueleweshana
2. Kama Kuna Mahali Haujaelewa Uliza Tu Utajibiwa Hata Mara 100
3. Mafunzo Ya Haya Ni Bure Na Hayana Malipo Yoyote, Malipo Ni Likes Na Baraka Zako.

Tukutane Jmosi Kwa Part 1 Ya Software Na Hardware.

Wasalaam.
 
Mungu akubariki sana
Kama watu wote wangekuwa na roho kama yakwako ya kushare knowledge tungekuwa mbali sana
 
Nashauri Mada zote uzipost hapa hapa kwenye Uzi huu.. Coz ukihamisha somo flan kwenye Uzi wake Italeta usumbufu..
 
Mungu akuzidishie mkuu, nakaa siti ya mbele kabisa
 
Back
Top Bottom