Daraja Msisi Singida lakatika

Daraja la msisi mkaa limekatika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha kwa wingi mkoani singida.Kufuatia uharibifu huo magari yote yanapita ndago kazi kwako Magufuli

Asante kwa taarifa hii.
 
Unaendaje dar wakati daraja limekatika sasa...
Mpigieni chemba ya maji taka awasaidie.

Limekatika wakati sisi tumesha fika singida ndio maana safari safari yetu inaemdelea na sasa tumekaribia manyoni
 
Na kwa taarifa sasa hata njia ya ndago kuna msururu mkubwa wa magari nako daraja limekatika kutokana na uzito wa magari DAR ARUSHA MWANZA KWISHINEI HAKUNA MAWASILIANO YA BARABARA NIKO KWENYE MOHAMEDI TRANS NAEMDA DAR

Nyinyi mmevukaje? hakuna kivuko?
 

Hata ukimtetea haisaidii na wala hakuna fitina hapa kwani huyu mchemba anawajengea waTZ hofu ambayo haipo hata kama ametumwa na Magamba. Huyu CHADEMA inamwasha kama mtu aliyemwagiwa upu-pu ndo maana hawezi fanya kitu kingine ni kujikuna tu.
 
Kazi ya huyu mbunge ni kuvalisha mbwa bendera ya CDM huko jimboni na sii kuangalia maendeleo.
 
wapi magufuli na matambo yake,
Toka barabara hizi zinazojengwa na serikari ya ccm, chini ya wakandarasi 1064 fake wa kichina, madaraja ... yamekwisha haribika na kusababisha hasara kwa peoplez
Magufuli lete takwimu za mifuko ya cement iliyotumika na rushwa iliyotolewa.
 
Duu naona unatokwa na mapovu meupe mdomoni ukimtetea huyu kilaza Nchemba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…