Daraja la kigamboni (latest pictures)

Ila kunaufisadi kupitia sheria ya manunuzi na 10% za tender.time will tell
 
kila la heri panapo uzima nami nikatize
 
...hivi ni kitu gani kilichofanya hili daraja lisijengwe kivukoni,kwa mwenye utaalamu pliz.
 
...hivi ni kitu gani kilichofanya hili daraja lisijengwe kivukoni,kwa mwenye utaalamu pliz.

Mkuu nafikili kivukoni ni sababu meli zinapita pale kwenda port ingejengwa pale ingebidi tuwe na dalaja la kufunguka na kufunga kupisha meli kupita kwa ufahamu wangu.

Au ingebidi lianzie mbali sana ili lipite juu kiasi cha meli kuweza kupita chini kwahio gharama ingekuwa juu zaidi.
 
Kumbe kile kipande kilichokuwa kimebaki kimeshaunganishwa!!!!!

 
mwanachama wa nssf atanufaikaje na hili daraja? assume hakai kigamboni. kwa nini serikari haijengi njia nyingine pale daraja la wami?
 
Ni shilingi ngapi kupita na gari ndogo, hata watembea kwa miguu nao wanatozwa?
 
Naona ustaadhi R. DAU anajifaragua asitumbuliwe jipu, ngoja tuone.
 
Naona wasanii wamepata location idea mpya....wote watajazana kufanya video shooting hapo..lol...
 
Mkuu nafikili kivukoni ni sababu meli zinapita pale kwenda port ingejengwa pale ingebidi tuwe na dalaja la kufunguka na kufunga kupisha meli kupita kwa ufahamu wangu.

Upo sahihi. Hivyo kwa aina ya madaraja ya kufunga na kufunguka ni gharama zaidi nafuu kwa hili.
Vile vile kimiundombinu upande wa kule Magogoni umejibana zaidi wakati ukija upande wa Vijibweni kule ni hakujajibana hivyo barabara zinaweza kujengwa kwa upana zaidi
Vilevile kuna depot za mafuta ambapo malori makubwa itakuwa rahisi zaidi kupita yanapotokea Kigamboni katika depots za mafuta na kuendelea moja kwa moja na ile Transit route\Mandela Highway hivyo kuepuka na kupunguza foleni zisizo za lazima
Wenye zaidi tuongezee
Nawasilisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…