Dar to Mwanza

Range rover

Senior Member
Joined
Nov 22, 2016
Posts
186
Reaction score
199
Hellow members
Nipo Kibaha nnadrive kwenda mwanza njia sizijui vizuri hivi nikipitia arusha si itakuwa poa, coz nna cruise 150 km/hr.
Naombeni ushauri
 
Watu waongo bana.
Eti 150 barabara ya Baba yako?

Dereva gani asiyekua muelekeo wa Mwanza?

Kapitie Mtwara ndo Karibu
 
Ya arusha mbali nyosha moja kwa moja kupitia shinyanga
 
Dogo unatafuta kiki ukute hata baiskeli huna!!!
Hellow members
Nipo Kibaha nnadrive kwenda mwanza njia sizijui vizuri hivi nikipitia arusha si itakuwa poa, coz nna cruise 150 km/hr.
Naombeni ushauri
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸšΆπŸΏπŸšΆπŸΏπŸšΆπŸΏ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…