Tiba JF-Expert Member Jul 15, 2008 4,604 3,163 Dec 14, 2014 #2 Hii maana yake ni nini? Hebu tufafanulie kidogo mimi sikuokota kitu hapo. Tiba
muhomakilo jr JF-Expert Member Jul 28, 2013 13,456 10,023 Dec 14, 2014 #3 Safi Sana,wamezidi kunyanyasa watu,wale jamaa wanavyodai pesa ya maegesho kwa kuudhi kweli,unavutaje kwa breakdown gari ya mtu ambayo inatembea?,jiji wanashindwaje kufanya kazi hii? au ndo mipango?...bravo mkuu wa mkoa.
Safi Sana,wamezidi kunyanyasa watu,wale jamaa wanavyodai pesa ya maegesho kwa kuudhi kweli,unavutaje kwa breakdown gari ya mtu ambayo inatembea?,jiji wanashindwaje kufanya kazi hii? au ndo mipango?...bravo mkuu wa mkoa.