DAR FREE MARKET IPO WAPI?

DAR FREE MARKET IPO WAPI?

Zakamwamoba

Senior Member
Joined
Jul 28, 2016
Posts
175
Reaction score
609
Hellow wadau wa Jf hasa wale wakongwe wa jiji (DSM)naomba kujua DAR FREE MARKET ipo pande zipi hapa town,
Naomba nielekeze na magari ya kupanda maana kuna jamaa nina appointment nae hapo.
 
Hellow wadau wa Jf hasa wale wakongwe wa jiji (DSM)naomba kujua DAR FREE MARKET ipo pande zipi hapa town,
Naomba nielekeze na magari ya kupanda maana kuna jamaa nina appointment nae hapo.
Ally Hassan Mwinyi Road....ukitokea mwenge ukipita taa za kuongoza magari St Peters upande wa kushoto kuna kituo cha mafuta gapco, ofisi za DSTV(ukipanda bus la makumbusho-posta unashukia hapo), Bar inaitwa Woodmont then Dar Free Market Mall.
 
Naona wataalam wa jiji washakupa majibu

Ova
 
Ally Hassan Mwinyi Road....ukitokea mwenge ukipita taa za kuongoza magari St Peters upande wa kushoto kuna kituo cha mafuta gapco, ofisi za DSTV(ukipanda bus la makumbusho-posta unashukia hapo), Bar inaitwa Woodmont then Dar Free Market Mall.

Kutokea Mwenge sema msaada container, ni kati ya DSTV na Harambee House nje kuna samaki (sanamu) anatema maji. Wafanya biashara wanapakimbia pale sasa hivi sijui kw nini.
 
Back
Top Bottom