M Makupa JF-Expert Member Apr 11, 2011 5,044 2,568 Apr 11, 2012 #1 Wana jf mlioko maofisini msitoke muda huu kuna foleni ambayo kimsingi ni kwamba hakuna gari inasogea
King Kong III JF-Expert Member Oct 15, 2010 51,685 68,671 Apr 11, 2012 #3 Acha masikhara sasa tutoke saa ngapi?
M Makupa JF-Expert Member Apr 11, 2011 5,044 2,568 Apr 11, 2012 Thread starter #4 Katavi said: barabara zote? Click to expand... Ni zote mkuu
M Makupa JF-Expert Member Apr 11, 2011 5,044 2,568 Apr 11, 2012 Thread starter #5 King Kong III said: Acha masikhara sasa tutoke saa ngapi? Click to expand... Toka sasa kama hutamaliza hako ka petrol kwenye gari Mkuu
King Kong III said: Acha masikhara sasa tutoke saa ngapi? Click to expand... Toka sasa kama hutamaliza hako ka petrol kwenye gari Mkuu
U Ugweno Member Feb 21, 2011 48 9 Apr 11, 2012 #6 Natumaini itajivuta vuta mpaka Jollies angalua nipate Castle Light baaaaarrrrrrrriiidi:heh:
Yummy JF-Expert Member Sep 26, 2011 1,796 1,336 Apr 11, 2012 #7 Ugweno said: Natumaini itajivuta vuta mpaka Jollies angalua nipate Castle Light baaaaarrrrrrrriiidi:heh: Click to expand... Karibu sana tujumuike
Ugweno said: Natumaini itajivuta vuta mpaka Jollies angalua nipate Castle Light baaaaarrrrrrrriiidi:heh: Click to expand... Karibu sana tujumuike
Ibrah JF-Expert Member Mar 22, 2007 2,729 528 Apr 11, 2012 #8 Makupa said: Wana jf mlioko maofisini msitoke muda huu kuna foleni ambayo kimsingi ni kwamba hakuna gari inasogea Click to expand... Inawezekana watu wa Kigamboni hawataki kuvusha magari kwenye kivuko kwa hofu ya Tsunami na wanaopita Old Bagamoyo Rd nao pia wanakwepa hiyo barabara.
Makupa said: Wana jf mlioko maofisini msitoke muda huu kuna foleni ambayo kimsingi ni kwamba hakuna gari inasogea Click to expand... Inawezekana watu wa Kigamboni hawataki kuvusha magari kwenye kivuko kwa hofu ya Tsunami na wanaopita Old Bagamoyo Rd nao pia wanakwepa hiyo barabara.
Mzee wa Rula JF-Expert Member Oct 6, 2010 8,171 3,346 Apr 11, 2012 #9 Katavi said: barabara zote? Click to expand... Swali la msingi sana hilo.
Ngoromiko JF-Expert Member Sep 15, 2011 554 175 Apr 11, 2012 #10 Unawaambia wasitoke ofisini saa hizi wakati wewe unasepa.....unataka wenzako wakutwe na Tsunami? Labda ungewashauri waache magari yao wapige mguu hadi Ubungo watafute usafiri wa Moro.
Unawaambia wasitoke ofisini saa hizi wakati wewe unasepa.....unataka wenzako wakutwe na Tsunami? Labda ungewashauri waache magari yao wapige mguu hadi Ubungo watafute usafiri wa Moro.
RasJah JF-Expert Member Nov 5, 2009 703 64 Apr 11, 2012 #11 Mnakuja Gongomboto msije kabisaaa foleni imeanzia tazara hadi banana... updates
doup JF-Expert Member Feb 26, 2009 2,347 2,151 Apr 11, 2012 #12 Ngalangala said: Mnakuja Gongomboto msije kabisaaa foleni imeanzia tazara hadi banana... updates Click to expand... Niko mitaa ya amikocheni, natakiwa nije mitaa hiyo duh! nouuuma!
Ngalangala said: Mnakuja Gongomboto msije kabisaaa foleni imeanzia tazara hadi banana... updates Click to expand... Niko mitaa ya amikocheni, natakiwa nije mitaa hiyo duh! nouuuma!
M msua msua Member Apr 10, 2012 11 0 Apr 11, 2012 #13 Me nipo kwenye foleni tangu saa kumi mpaka sasa sijafika naelekea posta njaa nimechoka balaa tupu hii miundo mbinu yetu hii eti miaka 50 ya uhuru
Me nipo kwenye foleni tangu saa kumi mpaka sasa sijafika naelekea posta njaa nimechoka balaa tupu hii miundo mbinu yetu hii eti miaka 50 ya uhuru
Kamkuki JF-Expert Member Feb 1, 2011 1,672 971 Apr 11, 2012 #14 Bora mie sijatoka kwa leo, ila poleni mliokumbwa na dhahama hiyo!