Kufuatia kuteuliwa kwa ndugu Aboubakar Kunenge kushika nafasi ya ukuu wa mkoa wa Dar es Salaam iliyokuwa chini ya ndugu Paul Makonda (mbunge mtarajiwa)
Baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam wamegubikwa kwa vifijo na nderemo baada ya teuzi hiyo, huku wananchi wengi wakionekana kuwa na furaha na hatua hiyo.
Ndugu Kunenge kabla ya hapo alikuwa katibu tawala wa mkoa huo ambapo sasa anaenda kushika usukani wa kuendesha Jiji hilo, tutegemee nini kutoka kwake? Ni mabadiliko gani tutaenda kuyaona?
Kuna watu na bahati zao. Wakati wengine wanawekewa zengwe la kutokuwa na tamaa ya ubunge kwa kuwa wana nyadhifa tayari, mpendwa anatolewa katika wadhifa wake na kuwekewa mazingira ya kugombea ubunge.
Sijui wanapeana nini hawa wawili?
Kuna watu na bahati zao. Wakati wengine wanawekewa zengwe la kutokuwa na tamaa ya ubunge kwa kuwa wana nyadhifa tayari, mpendwa anatolewa katika wadhifa wake na kuwekewa mazingira ya kugombea ubunge.
Sijui wanapeana nini hawa wawili?
Kwani Rais alisemaje?! Ukiomba ruhusa kugombea ubunge huku una cheo kingine anakupa hio ruhusa haraka sana (anakutoa hio nafasi). Na ndio hiko kimefanyika kwa Makonda. Sasa shida iko wapi?
Kuna watu na bahati zao. Wakati wengine wanawekewa zengwe la kutokuwa na tamaa ya ubunge kwa kuwa wana nyadhifa tayari, mpendwa anatolewa katika wadhifa wake na kuwekewa mazingira ya kugombea ubunge.
Sijui wanapeana nini hawa wawili?
Kwani Rais alisemaje?! Ukiomba ruhusa kugombea ubunge huku una cheo kingine anakupa hio ruhusa haraka sana (anakutoa hio nafasi). Na ndio hiko kimefanyika kwa Makonda. Sasa shida iko wapi?