Nasema Uongo Ndugu Zangu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 279
- 773
DAR ES SALAAM
Kijana Mohamed Rajabu mkazi wa Mabibo jijini Dar es Salaam amenusurika kuuawa kwa panga na watu wasiojulikana usiku wa jana.
Kijana huyo mwenye ulemavu wa ngozi (ualbino) sambamba na mtu aliyekuwa pamoja nae wakati wanavamiwa na watu wasiojulikana waliwasikia wavamizi hao wakiambiana "mkate mkono, mkate mkono".
Chanzo; Ukurasa rasmi wa Azam Tv, facebook.
Kijana Mohamed Rajabu mkazi wa Mabibo jijini Dar es Salaam amenusurika kuuawa kwa panga na watu wasiojulikana usiku wa jana.
Kijana huyo mwenye ulemavu wa ngozi (ualbino) sambamba na mtu aliyekuwa pamoja nae wakati wanavamiwa na watu wasiojulikana waliwasikia wavamizi hao wakiambiana "mkate mkono, mkate mkono".
Chanzo; Ukurasa rasmi wa Azam Tv, facebook.