Dar airport to handle over 30 planes an hour

Habari nzuri ya kupanua miundombinu. lakini kuna mwenye takwimu uwezo wa DIA kwa sasa ni vikwangua anga vingapi vinaweza kuruka na kutuakwa saa? Na siku kwa saa ni ndege ngapi zinaruka au kutua?

Miradi ya namna hii inabidi iangaziwe pia kwa Shirika la Reli(TRL).


Isome vizuri habari kaka.........
The modernisation of JK Nyerere International Airport, to be completed in July this year, will enable it to handle more than 30 planes an hour, up from the current 11.
 
Back
Top Bottom