mdundo ngoma sana
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 1,002
- 956
Kwa IGNORANCE hii huoni mnaiongezea serikali gharama za kuwahudumia badala ya kuipunguzia..!?Kaumba ndo nini sasa?? Kwan hao vijana wote unadhan hawana akili?? Mtu anauza k yake na watu wako tayari kununua we unajifanya kuuumiaaa...
maneno yako yatadumu milele wee chukua cheap pointKaumba ndo nini sasa?? Kwan hao vijana wote unadhan hawana akili?? Mtu anauza k yake na watu wako tayari kununua we unajifanya kuuumiaaa...
miwaya ipo tu sio mpaka uipate kutoka kwa kahaba ata mkeo/mmeo anaweza kukuletea chamsingi ni kumuomba Mungu atuepushe na kuwa waaminifuDangulo hili lipo maeneo katikati na mji.Ni dangulo lenye historia ndefu.kiufupi limewaangamiza vijana wengi wa kike na kiume.wanawake wanaojiuza hapo nibwaathirika wa ugonjwa wa ukimwi na wanausambaza kwa makusudi.makahaba kutoka sehemu mbalimbali za miji na mitaa mbalimbali ya wanawake wenye kujiuza wakikosa masoko huja Kaumba.Asilimia mia pasina shaka wanawake wa kaumba wanamoto yaani umeme .vijana wengi masikini wakifika pale haina kujadili.unauziwa buku tano mpaka tatu.ikifika night sana majimama yanachukua hadi buku mbili.Ndugu zangu wanaume mabingwa wa kujitoa muhanga,utamu mpelekee mkeo,Kaumba ni ukimwi mtupu,narudia kaumba pana ukimwi na magonjwa yote ya zinaa,vijana ninao wafahamu na sasa wapo mbele ya haki ni wengi.Wito kwenu serikali,pale kuna guest kama nne hivi zimejaza makahaba.huduma zote za kikahaba zipo ndani,kwa miaka mingi zimekuwa zikifanya biashara za ngono,polisi wamekuwa wakipita tu na hakuna mabadiliko.Serikali ifunge kabisa ule mtaa.mkuu wa mkoa morogoro kaumba ni kiwanda cha majeneza,kaumba ni killing zone ya vijana.wamiliki wa guest xa kaumba ni maajenti wa shetani.
mnunuzi namba 1Umefanya utafiti au umekuja na hisia za kuunganisha dot, hiyo kahumba na pale chipukizi hiyo kazi ipo toka miaka ya tisini, ingawa sina uhakina kama chipukizi bado pana operate mpaka sasa
bro nimeingilia maslahi yako lakini pole hata ukivaa kondom jua utanasa tu niaminiKaumba ndo nini sasa?? Kwan hao vijana wote unadhan hawana akili?? Mtu anauza k yake na watu wako tayari kununua we unajifanya kuuumiaaa...
Tuko wote mkuu, ulifata nini kama hukwenda kununua?mnunuzi namba 1
haya bhanaTuko wote mkuu, ulifata nini kama hukwenda kununua?
kama serikali inajua kila kitu wangeteuliwa tu mawaziri pasina wabunge kupiga kelele.usitetee uovu maneno yanaishiEneo lenyewe linaitwa 'kaumba' basi sawa. Ila kama hadi wewe umejua yote haya amini serikali inayajua mengi zaidi ata si wakuwakumbusha
Nadhani labda huu uzi tu u address kwa viongozi wa kidini na wazazi wa huko Morogoro