chief bazoka
Member
- Jan 31, 2014
- 97
- 22
Habari wanajamii wiki iliyopita nili apply kazi za dangote industries zilizotangazwa kwenye gazeti la dailly news.leo nimetumiwa sms hii
nakusaidia upate nafasi hii kwa tsh 300,000/ kama utakuwa tayari naomba unitumie laki moja ili nitakapoingia kwenye kikao niweze kupitisha majina yako na tar 09 March 2015 uje na vifuatavyo: original academic certificates, birth certificate,barua ya mzamini awe mtumish serikalini na balance itakayobaki. fanya siri jambo hili.
Nimetumiwa na namba hii 0753679222 anasema yeye ni hr wa dangote industries mtwara.utapeli nje nje kuweni makini wadau
nakusaidia upate nafasi hii kwa tsh 300,000/ kama utakuwa tayari naomba unitumie laki moja ili nitakapoingia kwenye kikao niweze kupitisha majina yako na tar 09 March 2015 uje na vifuatavyo: original academic certificates, birth certificate,barua ya mzamini awe mtumish serikalini na balance itakayobaki. fanya siri jambo hili.
Nimetumiwa na namba hii 0753679222 anasema yeye ni hr wa dangote industries mtwara.utapeli nje nje kuweni makini wadau