Dalili za jini mahaba

Duh!! vipi kama mtu akiwa nazo zote hizo
 

Yani hata kama kuna ukweli inakuwa kama anabahatisha sasa nani hapo anakosa kupata hata sifa 5 mpaka 10 kwa sifa zote hizo..??
 
Tafuta msaada wa maombi kama una dalili yoyote hapo maana hili jini/pepo nasikia linapukutisha uchumi
 
Mi sababu yoote hiyo unadhani mtu anakosa hata 2,3 katika hizo?

Yoote 9, 10 ina maana ni wanawake tu ndio wanapata jini mahaba, vidume hatupati?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…