View attachment 69075
Nimekuta hii ajali jana 22/10/2013 sehemu za msitu wa Sao Hill, hii gari ya Dalbit imehama na kumbamiza hiyo gari nyingine uso kwa uso!
Hiyo yellow vehicle yuko site yake lakini ndiyo amebamizwa vibaya na sidhani kama kuna watu walipona gari zote mbili.
Jamani ni Kama Ajali nyingine Dalbit haina uhusiano na JK hata chemba is Kenyan based company it's all over Sudan, Congo, Mauritius etc and HQ is Nairobi