Latra wao wanachojuwa ni kupandisha nauli tuKazi ya traffic ni kushugulikia makosa ya barabarani, latra Kama mamlaka husika ndio inashugulika na daladala kukatisha route.
Tangia jukumu ili lipelekwe latra toka Sumatra kumekuwa na uzembe mkubwa ndio maana daladala wamekuwa wakijipangia nauli na kufanya watakavyo.
Yes push back na sio kulalama humu,ikibidi choma moto hilo daladala na kuanzia siku hiyo hakuna litakalo katisha safariHapo kinachotakiwa ni abiria kugoma kushuka na kumlazimisha dereva kufika anapotakiwa kufika.