Daladala za Zenji

Wanaruhusiwa kusimamisha abiria? Maana sioni aliyesimama kati atashikilia wapi. Na je wamezuiwa kutumia mabasi? Je kwa wamiliki wa hizo biashara ipi ni faida kwao kutumia hizo canter au bus ?
"kusimamisha abiria"?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…