Daladala ya Mbagala yapata ajali Kigamboni

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
27,638
Reaction score
62,539
Basi iloangukia daraja la mwongozo Kigamboni leo hii

Ntawaletea habari zaidi
 
Je lilikuwa na abiria au ni dereva tu
 
Duuuuu....pole yao wahanga, ila dala dala za mbagala zizingatie mwendo mzuri, maana kuona maeneo kama konda ya sabasaba (KTM /njia panda ya kwenda mbagala kuu ) aiseee gari huwa zinakimbia afu kuna kona na mteremko mkali sana, huo nimetolea mfano tu wa maeneo tatanishi na yanayoweza let's madhira kwa jamii
 
kuiba ruti sometimes mbaya sana kesi inamkalia vibaya dereva
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…