(DALADALA) ni tukio gani hutalisahau?

(DALADALA) ni tukio gani hutalisahau?

BIGURUBE

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2014
Posts
6,748
Reaction score
4,257
Kwa kawaida kwenye daladala huwa kuna vituko na matukio ya kila aina ambayo kila mmoja wetu amewahi kukutana nalo!

Hebu tuambizane ni nini hutasahau kutoka kwenye usafiri huu wa Umma?
 
Anza kwanza ww kutuambia ni jambo gani hutalisahau kwenye usafir wa uma daladala
 
Baada ya hapo ukawa unapanda ya matairi 2 (baiskel) mpaka leo
 
Ilinitokea daladala ikawa imejaa sana na nimesimama na mdada mmoja ambae ameegamia kifua chake kwangu, kumbe ile maziwa yake kubanana na kifua changu akawa anapata hisia kali za mahaba, mwisho akaanza kugumia kimahaba na pumzi zikabadilika...
 
Back
Top Bottom