Daladala Morogoro zimegoma kupakia abiria

Daladala Morogoro zimegoma kupakia abiria

Watu wanaenda kufuatana na mabadiliko ya kimazingira ama teknolojia, sio lazima MTU akae stand masaa kibao kusubiria gari ijae ilihali anahitajika haraka sehemu husika.

Ni kweli mkuu, fikiria mtu anakaa stand kwa dakika 30 anasubiri daladala ijae, wakati huo kuna magari yameachwa yanaunguruma yanatoa moshi mwingi kabisa, watu wanaathirika afya zao bila sababu, kwanini nisichukue bajaji kwa shilingi 2000 niwahi niachane na daladala
 
Ni kweli mkuu, fikiria mtu anakaa stand kwa dakika 30 anasubiri daladala ijae, wakati huo kuna magari yameachwa yanaunguruma yanatoa moshi mwingi kabisa, watu wanaathirika afya zao bila sababu, kwanini nisichukue bajaji kwa shilingi 2000 niwahi niachane na daladala
Bajaj Jero tu mnakaa watu kadhaa
 
Wandungu, nimeingia mji kasoro bahari leo, kinachoshangaza hakuna usafiri wa daladala kama ilivyozoeleka, usafiri pekee ni bodaboda, kilikuu na bajaji, nimeuliza watu kadhaa wanasema wenye daladala wamegoma.

Je, nini kimeshindikana kuzungumzika mpaka kufikia adha hii!?

-----
Madereva wa moro mjini wengi wavuta bangi, walevi, hohehahe wajui kesho yao ipo je. Ni wajiinga na wana uijiinga fulani. Wao unaweza kukuta gari imejaa, eti wanasubiria mpaka watu wabanane, na wakati mwingine hata kama amejaza vizuri ukilalamika wanakuambia shuka. Kwa ufupi ningekuwa mkuu wa mkoa ningeagiza kufutiwa leseni gari zote zinazogoma ili liwe fundisho. Unakuta hata hapo stendi ya daladala pamegeuka kuwa genge la wavuta bangi. Mkuu wa mkoa kupitia sumatra futa leseni za hao wavuta bangi wakalime ndizi milimani wahuni kabisa.
 
Unakuta hata hapo stendi ya daladala pamegeuka kuwa genge la wavuta bangi. Mkuu wa mkoa kupitia sumatra futa leseni za hao wavuta bangi wakalime ndizi milimani wahuni kabisa.


Upo sahihi Mkuu, sikuwa najua kwanini boadaboda wa mji huo ni wasumbufu, kumbe ni kizazi kimoja na madereva wa daladala, wote wana akili za milimani, umatombomatombo haujafutika kabisa vichwani mwao,
 
Kodi tunalipa sisi tulio kwenye orodha ya walipakodi. Hao Bajaj wanapiga pesa ndefu, lakini hakuna kodi yoyote. Daladalka kodi kibao, teksi kodi kibao, halafu wanaachwa hao wenye bajaj watambe tu. Hakuna usawa hapo. Malalamiko ya daladala ni sahihi.
Uko sahihi mzee wa Kwembe-Kati
 
Kodi tunalipa sisi tulio kwenye orodha ya walipakodi. Hao Bajaj wanapiga pesa ndefu, lakini hakuna kodi yoyote. Daladalka kodi kibao, teksi kodi kibao, halafu wanaachwa hao wenye bajaj watambe tu. Hakuna usawa hapo. Malalamiko ya daladala ni sahihi.
Nani kakuambia bajaji hawalipi kodi?.Kwataarifa ni kuwa bajaji wanalipa kodi zaidi ya Sh 190,000/ kwa mwaka.
 
Back
Top Bottom