daladala laivu by Nathan Mpangala

hahahaaa................. mkuu................. umenikumbusha mbali sana......................... hivi gazeti la sanifu bado liko mitaani??..................
 
mkuu salute. i real admire the talent of this guy. with cartoon i can laugh the whole day. asante sana mkuu kwa post yako. for sure, you have made my day
 
aisee nimecheka sasa. huyu mpangala ndo alikuwa akichora katuni ya oscar tolu?
 
hahahaha jf made ma day viva jf,niko kwenye boksi la mida mibovu alafu yange yange wananiangalia nikicheka
wakataka niwataflie daladala laivuu...wote wakaangua kicheko hahahahahah


kali zaidi hiyo mimi mama yangu nguluwe na kama na wewe nguluwe poa tuu
..lakini hiyo ya mgosi babu kubwa....shanga zimepangwa mpaka malizevuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…