Nenda Furaha hospital hapo kwa Dr masawe..wapo Boko.
Dr Kuboja ni mzuri Sana.
DR kisenge ni Mzuri pia
KubhojaWanapatikana wapi ukiacha Muhimbili?
Mi Nipo Tegeta!
Nenda Furaha hospital hapo kwa Dr masawe..wapo Boko.
Ukiwa unatokea mwenge kwenda bunju ukivuka tu boko kuna sheli kubwa nadhani ni ya lake oil iko upande wa kushoto halafu kuna njia ya lami mkono wako wa kulia ndo unaifata hiyo njia. Kuna vibao pia vimeelekeza Furaha hospital ipo karibu na Moga schoolAhsante Dear!
Boko Sehemu gani?
Boko Magengeni,Boko chama?
Yupo vizuri mnoHuyo Daktari na mkewe ni mabingwa wa magonjwa ya watoto. Highly recommended!
Safii. Huyu mzee yupo vizur, sema nae sijui akupata washauri kwenda kule ni Bunju ndani ndani sijui ilikuajeNenda Furaha hospital hapo kwa Dr masawe..wapo Boko.
Alishahama hapo kamandaDr massawe yupo morocco karibu na jengo la airtel
WalihamaDr massawe yupo morocco karibu na jengo la airtel
Yani ni ndani sana ila naamini with time tutazoea tuSafii. Huyu mzee yupo vizur, sema nae sijui akupata washauri kwenda kule ni Bunju ndani ndani sijui ilikuaje
Bora alibokuwepo Morocco
Mwenzie Dr. Dulla yupo hospital moja hivi Tabata inaitwa MiracolloYani ni ndani sana ila naamini with time tutazoea tu
Sio huyu aliyefariki hapa juzi kati?Mwenzie Dr. Dulla yupo hospital moja hivi Tabata inaitwa Miracollo
Wachaa bana sijaingia mitandaoni kama siku3 hiviSio huyu aliyefariki hapa juzi kati?
Kama ni Hassan Doulla amefariki February au March nadhani..Wachaa bana sijaingia mitandaoni kama siku3 hivi
Hiyo habari ipo humu?
Duuh!aisee Ngoja nimchek jamaa mmoja hivi yeye ni mdau wake kuthibitisha haya.Kama ni Hassan Doulla amefariki February au March nadhani..
Yes ipo humu