habar wakuu,kesho jumatatu katika kipindi kinachorushwa na itv cha dakika 45 atakuwepo katika mahojiano wazir kivul wa mambo ndani kamanda Godbless Lema ni matumaini yangu kamanda Lema atazungumza mambo mengi kuhusiana na mambo mbalimbal yanayohusu wizara ya mambo ya ndani likiwemo la Lugumi