Mikopo Chefuchefu
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 3,373
- 6,756
Sikutegemea kama warning letter ingeweza kumchanganya kiasi hiki mwanasiasa mpendwa eng Haizai Kamwelwe..
Haya mambo yalitakiwa yamchanganye kijana anayeanza maisha, au mtu ambaye anasomesha na hajajenga.
Kwa uinjinia wake huo hata akioneshwa mlango wa kutokea kwani ataweza kukosa tenda za kujenga nyumba mitaa yote hii ya jiji ambayo ujenzi unaendelea kila kukicha?
Injinia, acha woga.. Chapa kazi.. Hayo mambo ni ya kawaida tu.
Maji ya moto yashapoa mzee wangu.
Haya mambo yalitakiwa yamchanganye kijana anayeanza maisha, au mtu ambaye anasomesha na hajajenga.
Kwa uinjinia wake huo hata akioneshwa mlango wa kutokea kwani ataweza kukosa tenda za kujenga nyumba mitaa yote hii ya jiji ambayo ujenzi unaendelea kila kukicha?
Injinia, acha woga.. Chapa kazi.. Hayo mambo ni ya kawaida tu.
Maji ya moto yashapoa mzee wangu.