Dah! Wabongo buana eti mathsjery ni tapeli

"SIKUWAHI KUFANYA KAZI NA MTANZANIA"hyo lugha ya majivuno kuonyesha upo vizuri,kwani nani aliyekuuliza..jitahdi kujieleza vizuri and be humble kama kweli unaipenda career yako
 
Naona wadau mnanishambulia kinoma. Kisa mie kuuliza "kumbe fulani ni tapeli"

Hivi mfano nikauliza: "ina maana Mkaruka ni bondia?" Hapo hapo huyo Mkaruka anakua bondia? Hapana.

Naona mathsjery na group lako hapa mnapandwa jazba zisizokuwa na maana.

Poa ngoja niombe msamaha, Si ndio mnataka bana:

mathsjery naomba radhi kwa kufananisha jina lako na Matthew. Kumbuka nimefananisha kwa sababu developer maarufu anayefahamika na jina lake lina Math... ni wewe hapo! Very sorry my friend.

Mjadala umeisha?

Out of Topic: Natafuta Honda Fit/Vitz new model/old model nzuri mazee. Bajeti yangu 4m to 5m.
 
Kwahiyo mmekuja kusutana huku...[emoji848][emoji848]
 

Mimi binafsi nimeelewa kwamba kitu unachokifanya hukukifanya kwa bahati mbaya, na unafurahia kukifanya.

Ushauri wa bure, usipende kubadili hata herufi moja kwenye majina hasa topic ngumu kama hizi.

Ukitaka uchukue huu ushauri, ukitaka acha kuuchukua.
 
"SIKUWAHI KUFANYA KAZI NA MTANZANIA"hyo lugha ya majivuno kuonyesha upo vizuri,kwani nani aliyekuuliza..jitahdi kujieleza vizuri and be humble kama kweli unaipenda career yako
Kwakweli nimekosea nisameheni kwa hilo nilijaribu kufikisha ujumbe tofauti kidogo japokuwa ni kweli ila nimekosea let's cheer
 
Ushauri wa bure, usipende kubadili hata herufi moja kwenye majina hasa topic ngumu kama hizi.

Ukitaka uchukue huu ushauri, ukitaka acha kuuchukua.

Ushauri wa kipumbavu. Nimeupuuza!
 
Hapo imekaa poa acha tuendelee kujenga taifa 😀
 
Hakuna member anayeitwa/anayejiita Matthew humu jamiiforums. Hayupo!
Mzee, alikuwemo mtu anaitwa Matthew humu labda awe amedelete account na kutengeza nyengine. sasa sijui kama ndio huyo mathsjery ama vipi. Ila mimi najua miaka hio huyu mtu akitumia ID ya matthew.

Nilikuwa na project nzito sana, nimeifanyia research ya kutosha, sio kwamba nilikosa mtu wa kunifanyia, ila nilitaka mtu awepo Tanzania ili iwe rahisi kuwasiliana nae nakutoa fursa maana nlijua kama ingefanikiwa saivi ingekuwa tuko mbali sana, nkaona nitoe chance kwa mtanzania mwenzangu maana nilitaka Tanzania ijulikane kuwa vichwa vipo, lakini alitokomea. Website aliiweka kwenye maintainance mode tu, hakuna alichokuwa akifanya. Kitenda chake cha kutumia wordpress kwenye hio project kilinipa mashaka sana, akataka kwanza nimpe laki 2, nkaona sio kesi laki mbili sio ishu ata ikipotea.

Afu jamaa akantambulisha kwa jamaa anaitwa Franc ambae alinambia anafanya kazi na fastercapital, mtandao ambao unatoa support kwa startup. Baada ya alichofanya, sikutaka kuendelea na huo mtandao nkajua huenda nao ukawa unaibiwa idea tu.


 
project gani ulikua unataka ifanyike mkuu?? ukiachana na programming mm pia naweza ku invest kwenye idea naweza nikawa software engineer na co-founder
 
project gani ulikua unataka ifanyike mkuu?? ukiachana na programming mm pia naweza ku invest kwenye idea naweza nikawa software engineer na co-founder
Tatizo la kwetu bongo hatuko serious kabisa kwenye tech industry, unaweza kushare na mtu idea yako then akakusaliti na kuifanya yeye mwenyewe au pamoja na kukusaliti akakuacha njiani na yeye mwenyewe akashindwa kuendeleza ikawa mda unapotea tu.

Kama upo serious, njoo PM niambie wasifu wako, i need to know how advance you are kwenye tech, kama una any project ambayo umefanya tayari (web applications, sio ordinary wordpress sites), project ambayo wewe mwenyewe unaweza kuitumia kama show off kabisa nioneshe ili nijue kama huyu nnae deal nae ataweza kufanya hii project. Mimi sikuahidi kukupa pesa ndugu, mimi ni mtu mwenye idea na kuhitaji trusted partner wa kuanzisha kitu.
 
Ni ujinga uliopitiliza kiwango kumshutumu mtu kisa majina yamefanana, nawashangaa wachangiaji wanaunga mkono huo utopolo, humu JF kunaye anajiita mk24 mimi natumia handle MK254 sasa usipokua makini utabebeshaa watu mzigo kisa jina limefanana.

Aliyetapiliwa aweke ushahidi la sivyo awajibishwe kwa kumharibia mwenzake jina.....
 
Mimi ndio niliesema mtu mwenye ID ya Matthew ni tapeli. Yaonekana michango ya watu humu hata hukuisoma vizuri uliruka moja kwa moja. Soma kwa utulivu.
 
Nina maswali makubwa matano

1) Una kampuni au unafanya as a freelancer?

2) Unafanya coding au una develop themes za wp kule themeforest

3) Do you do both design na developing

4) Do you have a website, address etc

5) umesema umefanya kazi za weupe nilitegemea ungeji brand kujiweka jina anyways do you have a portfolio or something, weka kazi hapa tuzithaminishe

Kingine kama upo hapa officially na kwa ajili ya Networking kwanini unatumia hidden I'd si utumie your business name ili uweze kufanya more branding
 
Unajifanyaga lijuaji, kumbe FALA tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…