Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 8,848
- 15,252
Milele AminaTumsifu yesu kristu
Milele AminaTumsifu yesu kristu
Mkwara huu!Pole mkuu nawewe type "ALIYEINGIA NDANI KWANGU NAKUIBA MALI YANGU NILIYOITOLEA JASHO, NAMPA SIKU MBILI (2) NAOMBA AVIRUDISHE KWA MDA WAKE, BAADA YA SIKU 2 KUPITA TUSIJETAFUTANA." unaprint then unaweka mtaa mzima huwa inasaidia mara nyingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana broWadau hii kitu inatia sana stress natoka mihangaiko sijala toka asubui, nafika home wamebeba kila kitu wamesombelea kama vyao yaani ovaaa walikuja na fuso la kubeba, njaaa imekata yaan sijielew apa ovaa naota yaan.
Yaani nyie wez mlicho nifanya mnaniludisha kwenye zero yaan af nilikuwa kwenye mikakati ya kuoa asa jaman kweli dah aina noma lakin fresh tu mbona
Uswazi bana raha sana ,ukivusha demu hata iwe saa nane usiku watajua ila ukiibiwa saa nane hiyohiyo mchana hawataki kujua na wala kukupa ushirikiano.Tabia hii ya unafiki ilishawahi kunifanya nikatembeza kichapo kwa majirani kama kumi yani mpaka polisi wanakuja kufika eneo la tukio hali ilikuwa hailezeki.Nilikuwa nikimuamsha jirani asipofungua napita na mlango na nikiingia ndani ni kichapo mpaka watoto,kama una kabati ya vyombo ni kuangusha chini maadamu wote tupate hasara.Tatizo la mijini ni watu kujifanya wajuaji na wanafiki,mimi hilo nilishakataa.Binafsi kabla ya kuoa hata kama nimeanika nguo na ikatokea mvua ikanyesha sipo,nikirudi nikakuta nguo zangu zimenyeshewa ujue jirani utapata shida.
Kwa mfano dsm hata kama nyumba umeiona mwenyewe na unataka kuipanga ,mwenye nyumba atakuuliza kama umeanzia kwa dalali,na kama haujaanzia huko hupewi nyumba ,kama siyo unafiki na ushamba ni nini?
dah mkuu,kama sio chai basi wewe ni kiboko aisee.Uswazi bana raha sana ,ukivusha demu hata iwe saa nane usiku watajua ila ukiibiwa saa nane hiyohiyo mchana hawataki kujua na wala kukupa ushirikiano.Tabia hii ya unafiki ilishawahi kunifanya nikatembeza kichapo kwa majirani kama kumi yani mpaka polisi wanakuja kufika eneo la tukio hali ilikuwa hailezeki.Nilikuwa nikimuamsha jirani asipofungua napita na mlango na nikiingia ndani ni kichapo mpaka watoto,kama una kabati ya vyombo ni kuangusha chini maadamu wote tupate hasara.Tatizo la mijini ni watu kujifanya wajuaji na wanafiki,mimi hilo nilishakataa.Binafsi kabla ya kuoa hata kama nimeanika nguo na ikatokea mvua ikanyesha sipo,nikirudi nikakuta nguo zangu zimenyeshewa ujue jirani utapata shida.
Kwa mfano dsm hata kama nyumba umeiona mwenyewe na unataka kuipanga ,mwenye nyumba atakuuliza kama umeanzia kwa dalali,na kama haujaanzia huko hupewi nyumba ,kama siyo unafiki na ushamba ni nini?