francis kibiki
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 477
- 516
Wadau hii kitu inatia sana stress natoka mihangaiko sijala toka asubui, nafika home wamebeba kila kitu wamesombelea kama vyao yaani ovaaa walikuja na fuso la kubeba, njaaa imekata yaan sijielew apa ovaa naota yaan.
Yaani nyie wez mlicho nifanya mnaniludisha kwenye zero yaan af nilikuwa kwenye mikakati ya kuoa asa jaman kweli dah aina noma lakin fresh tu mbona
Yaani nyie wez mlicho nifanya mnaniludisha kwenye zero yaan af nilikuwa kwenye mikakati ya kuoa asa jaman kweli dah aina noma lakin fresh tu mbona