Kurunzi Platinum Member Joined Jul 31, 2009 Posts 10,175 Reaction score 11,573 May 17, 2012 #102 Tunashukuru kwa Jitihada zenu na hongereni kwa kazi Nzuri na Nguma ila naona muonekano na mpangilio wake umekuwa hauvutii kama ule wa awali au ni kwa sisi ambao tunatumia.
Tunashukuru kwa Jitihada zenu na hongereni kwa kazi Nzuri na Nguma ila naona muonekano na mpangilio wake umekuwa hauvutii kama ule wa awali au ni kwa sisi ambao tunatumia.
Chauro JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 2,968 Reaction score 1,478 May 17, 2012 #103 afadhali mmerudi maana ishageuka mateso bila JF