PetCash pole sana , kinachokuumiza ni kitu kidogo , kwan Huamini kua ulifanya jambo sahihi?
Kama unamini ulitoa ushauri sahihi basi usijiumize ivo.
Kwenye maisha yetu kuna watu kupokea mashauri yakweli huwa ni tizi sana.
Fanya kuwavalia miwani, piga mishe zako , hao wamama wakitaani wanaokumind ni sababu wote wana tabia moja !!.
Embu fanya kuamini kua kuna mmoja alikuona umefanya jambo la maana sana, nahuyo mmoja, anatosha kukupa Faraja... ACHANA NA MAMBO YA "WANANIONAJE"...
nakupa MF wa karibu.. Sisi tuna Mjomba Wetu wa makamo tu,, alipoachana na mkewe mkubwa akapata Kademu Ka miaka 30+ ivi, yule demu ukimuona ni MTU kabisaa lkn kwenye harakati na mahali ya mizunguko, unakakuta kana kunywa pombee, kamevaa ovyooo , Mjomba akirudi Nchini ,basi katakaa mwezi mzima kametulia..Ila akishasafiri kanaanza , nasisi wana tukawa tunakutana nako tu mizunguko .
Aahhh bwana ,Ndugu yako ni ndugu yako, ilibidi tukae na Mjomba tumweleze.
Mjomba bana kumbe akarudi akamwambia Mkewe , kale kademu mazee kalituchukia sana Yan kalichukia kinoma ,wazee tukakata mguu Pale .....( si una maisha yako ?)
Yakaenda, Jamaa kasafir tena, kurudi akakafuma hahahahahha tena kana mwanaume ndani..... Alianzaga kututafuta nakutuomba msamaha weee, mwisho akarudiana na mke wake mkubwa, now wanakula Mafao !!.
Fanya kuwapuuza Jooh !! Izo hasira mwisho utaishia kujiona Choo!!....... Waivo huwa wanakuja kuelewa..
IN FACT ,USIACHE KUA SEHEM YA UPONYAJI KWA MTU ASOJUA KUA ANAUMIA, MWENYE AKILI ATAKUSHUKURU.
Sent using
Jamii Forums mobile app