Galacha Maestro
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 1,353
- 2,231
mimi ni moja wa vijana tuliotoka mikoa ya mbali kuja kufanya intervies nssf... ila kuja kujua wanaitana kindugu na nimetoka mbaliii nimesikitika sanaaa... ushauri wangu ni kuwa siku nyinginee waweke vigezooo vya unduguuu kama added advantage sitolaumuu... vijana wengi hawana ajira wala kipato kuwatoa mikoani uje uwape ndugu, marafiki na watoto wa vigogo wa nssf ni ukatili sanaa.. kuweni na huruma na utendaji mzuri wa kaziii kama maadili yanavyotakaaa... na mlivyo wasiriii ni vigumu kwa watu kuwaumbua ila mngetoa shortlist naamini mngeumbuka sanaaaa zaidi ya uhamiajiii... hili ni shirika la mfuko wa wana nssf na sio jamiii