Dah hii hatar aiseeeh

Mr Mikazo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2016
Posts
1,595
Reaction score
806
Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kushoto ni wageni waalikwa, akaenda kushoto maana yy alialikwa. Akakuta mlango wa2 umeandikwa kulia wenye zawadi kushoto wasionazawadi yy hakuwa na zawadi. Mlango Wa 3 umeandikwa kulia wanawake kushoto waume akapita kushoto akajikuta ametokea mtaani

. Tujifunze kutoa wandugu

*hatupendagi ujinga sisi*
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…