Willy T JF-Expert Member Joined Mar 21, 2016 Posts 252 Reaction score 91 Jul 18, 2016 #1 Habari ya Muda huu mpendwa. Niko nauza dagaa wa mwanza kwa bei nzuri Dagaa wasio na mchanga , watamu , walaini Dagaa wamewekwa kwenye package nzuri Plastic container packaging Plastic container Karibuni sana for More information Contact: 0713146404 Hawa wa juu ni sh. 3500 Hawa ni sh. 2000
Habari ya Muda huu mpendwa. Niko nauza dagaa wa mwanza kwa bei nzuri Dagaa wasio na mchanga , watamu , walaini Dagaa wamewekwa kwenye package nzuri Plastic container packaging Plastic container Karibuni sana for More information Contact: 0713146404 Hawa wa juu ni sh. 3500 Hawa ni sh. 2000
Tutor B JF-Expert Member Joined Jun 11, 2011 Posts 9,025 Reaction score 6,614 Jul 18, 2016 #2 Unapatikana pande zipi?
platozoom JF-Expert Member Joined Jan 24, 2012 Posts 9,548 Reaction score 11,517 Jul 18, 2016 #3 Nzuri kwa bachelaz
Mbulu JF-Expert Member Joined Apr 15, 2015 Posts 5,619 Reaction score 5,518 Jul 18, 2016 #4 Upo wapo mkuu?
Willy T JF-Expert Member Joined Mar 21, 2016 Posts 252 Reaction score 91 Jul 18, 2016 Thread starter #5 Niko dar es salaam ndugu Tegeta au kinondoni lakini pia nakuletea ulipooo
Hossam JF-Expert Member Joined Feb 10, 2011 Posts 3,548 Reaction score 2,180 Jul 18, 2016 #6 Niko Singida
Mchumba JF-Expert Member Joined Jul 27, 2012 Posts 280 Reaction score 262 Jul 18, 2016 #7 Willy T said: Niko dar es salaam ndugu Tegeta au kinondoni lakini pia nakuletea ulipooo Click to expand... Nitakutafuta aisee kama unapatikana Kinondoni. Dagaa muhimu sana kwa sisi tunaoishi kigheto gheto
Willy T said: Niko dar es salaam ndugu Tegeta au kinondoni lakini pia nakuletea ulipooo Click to expand... Nitakutafuta aisee kama unapatikana Kinondoni. Dagaa muhimu sana kwa sisi tunaoishi kigheto gheto
Willy T JF-Expert Member Joined Mar 21, 2016 Posts 252 Reaction score 91 Jul 18, 2016 Thread starter #8 Ok poa ndugu namba zangu nafikiri umeziona Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app
Willy T JF-Expert Member Joined Mar 21, 2016 Posts 252 Reaction score 91 Jul 26, 2016 Thread starter #9 Naanza kutembeza so anaehitaji ataniambia