mie nawaogopa wahaya tu Tz
cc Lisa .........
Hizo zilikua hadisi sa kusadikika.kisa cha wamachame kuonekana hawaishi na wanaume sio kama wanawauwa .huko nyuma kulikuwa na vita kati ya wakibosho na wamacheme .wakibosho wakawadanganya. Wamachame njooni tuzungumze tupatane kumbe wakibosho walikuwa wamechimba shimo kubwa juu wakaweka nyasi na udongo walipokuja wanaume wa kimachame wakaandaliwa mbege juu. Ya lili shimo walipo. Kaa wakibosho wafetua ile miti kule ndani ya shimo wamachame waka tumbukia wote wakauwawa na hata wale walio jaribu kukimbia waliuwawa wote.hivyo familia nyingi ziliisha pasipo kuwa na baba .hicho ndicho chanzo cha wamachame kuonekana kuwa wanauwa wanaume.
Hahahahaahahaahaaaa!!!!!! Hakuna wanawake wazuri kwa figure, watamu na wanaojua ku Do, kucare, kufanya familia ikawa juu kwa elimu na maendeleo kama wahaya, chezeya wahaya wewe, Ngoja siku mmoja nikupe mmoja kwa kukutake care for a minute u will tell me!!
Hahahahaahahaahaaaa!!!!!! Hakuna wanawake wazuri kwa figure, watamu na wanaojua ku Do, kucare, kufanya familia ikawa juu kwa elimu na maendeleo kama wahaya, chezeya wahaya wewe, Ngoja siku mmoja nikupe mmoja kwa kukutake care for a minute u will tell me!!
Ila uwe mvumilivu kutambulishwa wajomba na makaka binamu kumbe wote mnakula mzigo mmoja.
Hilo la kwanza.......la pili ana hela.......? Hatuolewi na wanaume sarawili sisi.......
hata mimi....
Hi!
Ukipata mchumba hasa mmachame wanafamilia wanakuwa wagumu kubariki mahusiano yenu.Hii imetokana na baadhi ya jamii kutendwa baada ya kuoa wachaga.Lakini naamini kuna baadhi ya dada zangu wa kichaga ni wema kabisa na wanamtegemea Mungu na upendo wao unaweza kufuta mabaya yaliyojengeka ktk jamii zetu kwa vizazi vilivyopita.
Hapo awali wanaume wa kikurya walikuwa wanaogopwa na mabinti wengi sana kwa sababu ya kutoa kichapo lakini siku hizi baada ya jamii kuona baadhi ya wadada wameolewa na watu hao na wamepewa mapenzi ya dhati jamii imewakubali.Leo hii ukipata mchumba wa kikurya halafu ukampeleka nyumbani anakubalika.
Hivyo dada zangu jisafisheni kufuta mfumo dume uliojengeka ktk jamii pia mnaweza kutujuza tatizo liko wapi mpaka jamii inaogopa?
Wachagga wanawezana wenyewe kwa wenyewe.
Ukiwa na mali tu lazima uache watoto duniani. Mara nyingi wanaume ndo wanatangulia mbele ya haki.
Labda uoe mchagga aliyechanganya kabila asiwe Pure.