Mkonowatembo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,087
- 987
Acha kuwadanganya wanawake wezako wewe mume ni bidhaa adimu sana huwezi kuipata supermarketMwanaume yeyote aliyekuacha kwa dharau, dhihaka, matusi au hata kukuonyesha uchafu aliokuwa akiufanya na wanawake wengine, akiomba mrudiane naye usikubali.
Nakusisitiza tena, USIKUBALI. Kama alishindwa kutambua thamani yako wakati mpo pamoja hadi mkaachana, hawezi kuitambua tthamani yako mkirudiana. Furaha ya mwanaume kama huyo ni kumuona mwanamke aliyeachana naye akipata shida, akilia na kuuzunika katika maisha yake.
Mwanaume hujihisi fala pale anapokuona unaendelea na maisha yako kama kawaida, unafuraha na amani katika moyo wako, humtegemei wala kumlilia kama ulivyokuwa ukilia hapo awali juu yake, hivyo atafanya kila liwezekanalo mrudiane then akurudishe kwenye vikwazo ulivyovivuka.
Endelea kumuomba Mungu akupe ujasiri wa kusimama mwenyewe katika maisha yako. Muombe sana Mungu aendelee kuyalinda mahusiano yako mapya, ampe imani ya kukujali huyo mwenza wako mpya, akupende na kuyafanya mahusiano yenu kuwa yenye tija.
Muepuke sana mwanaume aliyekuacha kwa mbwembwe kisha anarudi kwa hekima akitaka mrudiane baada ya kukuona umefanikiwa kuyashinda majaribu yake na furaha yako kuimarika,
#nimekumaliza kama utasema oooh mimi nampenda sana bado wewe mruhusu utajionea hata wiki haipiti akisha kutia tu..
Yale yale yanaanza no sms no calls no anything utakua shamba la bibi
Mume ni bidhaa afmdimuu sanaMwanaume yeyote aliyekuacha kwa dharau, dhihaka, matusi au hata kukuonyesha uchafu aliokuwa akiufanya na wanawake wengine, akiomba mrudiane naye usikubali.
Nakusisitiza tena, USIKUBALI. Kama alishindwa kutambua thamani yako wakati mpo pamoja hadi mkaachana, hawezi kuitambua tthamani yako mkirudiana. Furaha ya mwanaume kama huyo ni kumuona mwanamke aliyeachana naye akipata shida, akilia na kuuzunika katika maisha yake.
Mwanaume hujihisi fala pale anapokuona unaendelea na maisha yako kama kawaida, unafuraha na amani katika moyo wako, humtegemei wala kumlilia kama ulivyokuwa ukilia hapo awali juu yake, hivyo atafanya kila liwezekanalo mrudiane then akurudishe kwenye vikwazo ulivyovivuka.
Endelea kumuomba Mungu akupe ujasiri wa kusimama mwenyewe katika maisha yako. Muombe sana Mungu aendelee kuyalinda mahusiano yako mapya, ampe imani ya kukujali huyo mwenza wako mpya, akupende na kuyafanya mahusiano yenu kuwa yenye tija.
Muepuke sana mwanaume aliyekuacha kwa mbwembwe kisha anarudi kwa hekima akitaka mrudiane baada ya kukuona umefanikiwa kuyashinda majaribu yake na furaha yako kuimarika,
#nimekumaliza kama utasema oooh mimi nampenda sana bado wewe mruhusu utajionea hata wiki haipiti akisha kutia tu..
Yale yale yanaanza no sms no calls no anything utakua shamba la bibi
FACTMwanaume yeyote aliyekuacha kwa dharau, dhihaka, matusi au hata kukuonyesha uchafu aliokuwa akiufanya na wanawake wengine, akiomba mrudiane naye usikubali.
Nakusisitiza tena, USIKUBALI. Kama alishindwa kutambua thamani yako wakati mpo pamoja hadi mkaachana, hawezi kuitambua tthamani yako mkirudiana. Furaha ya mwanaume kama huyo ni kumuona mwanamke aliyeachana naye akipata shida, akilia na kuuzunika katika maisha yake.
Mwanaume hujihisi fala pale anapokuona unaendelea na maisha yako kama kawaida, unafuraha na amani katika moyo wako, humtegemei wala kumlilia kama ulivyokuwa ukilia hapo awali juu yake, hivyo atafanya kila liwezekanalo mrudiane then akurudishe kwenye vikwazo ulivyovivuka.
Endelea kumuomba Mungu akupe ujasiri wa kusimama mwenyewe katika maisha yako. Muombe sana Mungu aendelee kuyalinda mahusiano yako mapya, ampe imani ya kukujali huyo mwenza wako mpya, akupende na kuyafanya mahusiano yenu kuwa yenye tija.
Muepuke sana mwanaume aliyekuacha kwa mbwembwe kisha anarudi kwa hekima akitaka mrudiane baada ya kukuona umefanikiwa kuyashinda majaribu yake na furaha yako kuimarika,
#nimekumaliza kama utasema oooh mimi nampenda sana bado wewe mruhusu utajionea hata wiki haipiti akisha kutia tu..
Yale yale yanaanza no sms no calls no anything utakua shamba la bibi😅😅😅
na Mimi nipe pesa basi....ili use unanifukuza kwa tharauKuna demu nilikuwa nampaga hela. Kuna kipindi nilimtimua kwa dharau nikamwambia asinitafte.
Toka juzi ananitafta anaomba turudiane.
Hakuna mwanamke atakukataa ukiwa unampa pesa tanzania hii ata umfukuze kwa dharau kiasi gani.
Wanaume tutafteni pesa hizi theory zao haziapply kwa wanaume wenye pesa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mpumbavu huyo bibie usijumlishe wanawake wote huyo wako ni matonya kazi yake kupokea hajui kutafuta pesa na wanawake wa aina hiyo wananyanyaswa haswaaaa kwenye mahusiano.Kuna demu nilikuwa nampaga hela. Kuna kipindi nilimtimua kwa dharau nikamwambia asinitafte.
Toka juzi ananitafta anaomba turudiane.
Hakuna mwanamke atakukataa ukiwa unampa pesa tanzania hii ata umfukuze kwa dharau kiasi gani.
Wanaume tutafteni pesa hizi theory zao haziapply kwa wanaume wenye pesa
Sent from my iPhone using JamiiForums
na Mimi nipe pesa basi....ili use unanifukuza kwa tharau
Mpumbavu huyo bibie usijumlishe wanawake wote huyo wako ni matonya kazi yake kupokea hajui kutafuta pesa na wanawake wa aina hiyo wananyanyaswa haswaaaa kwenye mahusiano.
Kuna demu nilikuwa nampaga hela. Kuna kipindi nilimtimua kwa dharau nikamwambia asinitafte.
Toka juzi ananitafta anaomba turudiane.
Hakuna mwanamke atakukataa ukiwa unampa pesa tanzania hii ata umfukuze kwa dharau kiasi gani.
Wanaume tutafteni pesa hizi theory zao haziapply kwa wanaume wenye pesa
Sent from my iPhone using JamiiForums
kama utasema oooh mimi nampenda sana bado wewe mruhusu utajionea hata wiki haipiti akisha kutia tu
Mkuu pole sana unaonekana ama umetokea katika familia ambayo mama yako aliteswa mno na baba yako kisa pesa na bado akavumilia so kwako inakuwa ngumu kuamini sio kila mwanamke utamnyanyasa kwa pesa akakuvumilia, Pia unaonekana una machungu na hasira mno kwa wanawake hali hii ukiendekeza stoke inapiga hodi kwenye mwili wako, Unapoandika wanawake hawajielewi kwa hiyo hapo mpaka Mama yako, dada zako, shangazi wote hawajielewi unachuki mbaya kwa wanawake usipo angalia utavua nguo. Wewe wanawake unao kutana nao hawajielewi kama wewe.Tatizo lenu hamjielewi hamjui mnataka nini na kwa wakati gani na kila siku tutawadharau tu mpaka mtakapojielewa. Mfano wa huyo niliokwambia ndo wengi sana sasa.Mwanamke siku zote maringo atamletea mwanaume asie na pesa wewe umeshawai kuona wapi mwanaume na pesa zake anaringiwa na demu kapuku?? Hutokaa uone kwa sababu mnapenda sana kitonga na ndio maana tuna wadharau sana.
Wewe unadhani kama naweza kukufukua mtaro ukakubali ili kesho ukiomba mtaji nikupe nitashindwa kukutimua kwa dharau kesho ukaja kuomba turudiane ili ukalipie kodi ya nyumba??
Wanaume tutafteni pesa asilimia kubwa ya hawa wanawake wa kipindi hiki ni kama mamalaya tu ukiwa na pesa utawapa na wala hawatakusumbua akili
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kuna demu nilikuwa nampaga hela. Kuna kipindi nilimtimua kwa dharau nikamwambia asinitafte.
Toka juzi ananitafta anaomba turudiane.
Hakuna mwanamke atakukataa ukiwa unampa pesa tanzania hii ata umfukuze kwa dharau kiasi gani.
Wanaume tutafteni pesa hizi theory zao haziapply kwa wanaume wenye pesa
Sent from my iPhone using JamiiForums
SOME people learn from their mistakes...the challenge is knowing if they have!