GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,008
- 126,404
Unanielekeza mwenyewe nyumbani kwenu nikija kumbe hukai hapo.
Karibuni sana
- Nakutongoza taratibu katika daladala wewe kudadadeki zako unanijbu kwa sauti hadi abiria wanajua A to Z.
- Nikiwa nakukandamiza ( kukugegeda ) hutoi hata sauti za kimahaba na unabaki tu kunikodolea mimacho utadhani Pacquiao na Floyd Myweither wanalipokuwa wakikodoleana wakati wanapimana uzito.
- Kutuzoea ghafla wanaume katika madaladala au bajaji ili tuwatoleeni nauli.
- Unaonana na gentamycine barabarani halafu nakuomba namba mwenyewe nikikupigia unaniblokia.
Karibuni sana